Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza  Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Ofisi ya Rais – TAMISEMI Erick Kitali alipokuwa akielezea kuhusu matumizi ya Mifumo ya TEHAMA  kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa 39 wa ALAT, kulia kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa .


Taarifa Mpya

Zaidi

Basic Education Statistics

Zaidi