
Loading ...



Waziri wa Nchi, OWM-TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akiongoza kikao kazi maalum cha Menejimenti ya Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI kilicholenga kuhimiza uwajibikaji kwa watendaji wa OWM-TAMISEMI

Waziri wa Nchi, OWM-TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akitoa hotuba kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Msingi (TAPSHA) uliofanyika katika Ukumbi wa Sephile Sapphire Pride Jijini Dodoma

Sehemu ya majengo ya hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu
Sehemu ya majengo ya shule ya Msingi Swaswa iliyojengwa kwa fedha za Mradi wa BOOST katika Jiji la Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji wote wa kazi za mkataba katika programu ya Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania (Tanzania Maternal and Child Health Investment Program (TMCHIP) waliowasilisha maombi ya ajira kwa nafasi mbalimbali za kada za afya katika kipindi cha mwezi wa Desemba, 2024 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika hivyo waombaji wote waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti katika Halmashauri walizopangiwa.
Mpango Mkakati wa Usimamizi wa Takwimu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI - 2024/25 -2028/29
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024

Mpango wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi (BOOST) umeweza kutatua changamoto mbalimbali zilizokuwepo kwenye elimu msingi ikiwemo miundombinu mibovu, msongamano wa wanafunzi pamoja na ukosefu wa madarasa ya awali na matundu ya vyoo.

Mafanikio ya Miaka Miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt.Samia Suluhu Hassan
RAMANI ZA MRADI WA BOOST
ADDITIONAL BASIC EDUCATION STATISTICS 2025
BASIC EDUCATION STATISTICS 2025
Ramani ya Tanzania inayotumika kufundishia wanafunzi