• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Wananchi waiomba Serikali kuwajengea vituo vya kutolea huduma za afya.

Imewekwa tar.: June 19th, 2019

Wananchi wa Kijiji cha Sunga kata ya Sunga katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu wameiomba Serikali kuwajengea miundombinu ya vituo vya kutolea huduma ili kuwasaidia wananchi ambao wanatembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo.

Wameyasema hayo  mbele ya Timu ya ufuatiliaji inayoshughulika na Mradi wa Huduma ya Afya ya  Uzazi na Mtoto kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa OR-TAMISEMI kupitia ufadhili wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Idadi ya watu (UNFPA)iliyotembelea kijiji hicho ili kujionea miundombinu ya Zahanati ya Sunga katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu.

Bw.Kulwa Lucas ambaye ni mwananchi wa kijiji hicho amesema Zahanati hiyo  inajengo moja lenye vyumba viwili ambapo kimoja hutumika kwa ajili ya huduma zote za mama na mtoto ikiwemo kujifungua na kingine hutumika kwa  huduma zote za magonjwa ya nje  jambo ambalo si sahihi kwa jamii na kinyume cha miongozo ya huduma za afya katika ngazi ya Zahanati.

Amevitaja vijiji vinavyopata huduma katika Zahanati ya Sunga kuwa ni Kijiji cha Iramna ndogo, Kijiji cha Puga  na Kijiji cha Sunga   na miundombinu barabara  ni mibovu na amaeeleza kuwa zahanati hiyo ipo katika umbali wa kilometa 55  kutoka Mjini ambapo ndipo kuna Hospitali ya Wilaya ya Meatu.

“Kijiji cha Sungu ni moja ya kijiji ambacho wanaishia Makabila ya Wasukuma , Wadzabe  na Watindiga ambao mara nyingi huishi ndani ya mashimo, hivyo tunaiomba Serikali kuona umuhimu wa kuwajengea vituo vya kutolea huduma za afya ikiwemo kuboresha na kuongeza majengo mengine katika Zahanati hiyo  ili kuwapunguzia changamoto ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za hiyo.

Amesema kuwa mama wajawazito wengi huamua kujifungulia kwa wakunga wajadi kutokana na umbali wa vijiji na kutokuwa na usafiri pale wanapohitaji kujifungua pia Zahanati hiyo kutokuwa na wodi ya wazazi na usiri wakati wa kujifungua  imechangia kwa kiasi kikubwa vifo vya mama na mtoto katika kijiji hicho.

Bw. Lucas ameendelea kufafanua kuwa kutokana na udogo wa Zahanati ya Sungu wameamua kubuni mbinu mbadala ambapo watoto hupimwa na kupata huduma ya chanjo chini ya mti ili kupunguza msongamano katika Zahanati hiyo.

Wakati huohuo Mratibu wa Mradi wa Afya ya Uzazi na Mtoto RMNCH-UNFPA na Huduma za Uuguzi kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bi.  Dinah Atinda amesema tayari serikali kupitia mradi wa UNFPA imetuma fedha kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Mama na mtoto na ununuzi wa vifaa ili kupunguza tatizo hilo.

Aidha ameiomba timu ya usimamizi wa huduma za afya katika Mkoa na Halmashauri ya Wilaya ya Meatu kufuatilia na kusimamia kwa karibu ujenzi wa wodi ya wazazi kwa kufuata ramani na miongozo iliyopo ili ikamilike ifikapo Septemba, 2019.

Na. Angela Msimbira MEATU


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.