• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Wananchi wa kikombo waipongeza Serikali kwa kuanzisha kliniki tembezi

Imewekwa tar.: August 16th, 2019

Wananchi wa Kijiji cha Kikombo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuanzisha huduma ya kiliniki tembezi ambayo inatoa huduma za afya karibu na maeneo wanayoishi jamii.

Hayo yamesemwa na Diwani wa Kata ya Kikombo Mhe. Yona Kusaja wakati wa uzinduzi wa kiliniki tembezi uliyofanyika leo katika Kituo cha afya Kikombo kilichopo katika Kijiji cha Kikombo, Kata ya Kikombo, Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Mhe. Kusaja amesema kuwa ujio wa kiliniki tembezi umesaidia kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa wataalam waliobobea katika magonjwa mbalimbali hivyo kuwafanya wananchi  wengi  kujitokeza  kwa ajili ya kufanyiwa vipimo  na kupatiwa  tiba kwa haraka na wakati kwa gharama nafuu.

“Wazee wengi wamejitokeza kuja kuchunguzwa afya zao jambo ambalo linatia moyo, kutokana na huduma hizo kusogezwa karibu na wananchi na wanatumia gharama ndogo kutibiwa” Amesisitiza Mhe. Kusaja.

Akizindua Kiliniki hiyo Tembezi Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Patrobas Katambi amewaomba wananchi kutokuwakatisha tamaa watoa huduma za afya nchini bali wawatie moyo kwa kuwa wanafanyakazi ngumu ya kuokoa jamii hivyo hawana budi kuwaombea na kuwajali watumishi hao.

“Watumishi wa kada ya Afya wanafanyakazi katika mazingira magumu ya kuwahudumia wagonjwa na kuficha siri zao, hivyo ifike wakati wananchi watambue kuwa kazi hiyo ni ya kujitolea hivyo tuwatie moyo na kuwaombea kwa mwenyezi mungu” Amesisitiza Mhe. Katambi

Mhe. Katambi amewataka watumishi wa afya kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma wa kuwajali na kuwahudumia wananchi kwa upendo ili waweze kuvutiwa na huduma zinazotolewa katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

Amesema kuwa ni wajibu wa watoa huduma za afya nchini kuhakikisha wanatoa huduma bora za afya  na zenye viwango kwa jamii ili kupunguza malalamiko katika Sekta ya Afya nchini.

Wakati huohuo  Afisa Ustawi wa Jamii Bi. Shekilaga Nkinda kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ambaye pia ni Mlezi wa Timu za Afya Mkoa wa Dodoma) amewaomba wananchi kuhakikisha wanakitumia kituo cha afya cha Kikombo kwa kuwa ni mali yao na kimejengwa kwa ajili ya kuwapatia huduma bora za afya.

Amesema kuwa inasikitisha kuona kuwa kituo kimejengwa kwa gharama kubwa na Serikali lakini bado wananchi wanaenda kupata huduma hizo katika kituo cha afya cha Chamwino na Hospitali ya Mkoa wa Dodoma jambo ambalo halileti picha nzuri kwa jamii.

“Serikali imetumia gharama kubwa kujenga miundombinu ya kituo hichi cha afya lakini inashangaza kwa mwezi mmoja ni wakina mama 30 tu ndio waliokuja kujifungua hapa, ninawaomba wananchi mkitumie kituo chenu “ Anasisitiza Nkinda

Bi. Nkinda amewaomba wananchi kuhakikisha wanalinda miundombinu ya kituo hicho na pia wanatoa taarifa kwa viongozi pale wanapoona huduma zinazotolewa katika kituo hicho zipo nchi ya viwango vinavyohitajika.

Amewaomba wananchi kuhakikisha wanajiunga na bima ya afya ili waweze kupata huduma za afya kwa urahisi pale wanapokuwa hawana fedha.

Hata hivyo, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Dkt. Gatete Mwihava amesema kuwa wamebuni huduma ya kiliniki tembezi ili iweze kuwasaidia wananchi maskini kwa kuwaletea wataalam wa magonjwa mbalimbali ili kuwapunguzia gharama za kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo.

Amesema huduma ya kliniki tembezi inawataalam wa macho, meno, wataalam wa afya ya mama na mtoto, magonjwa yasiyoambukizwa, saratani ya kizazi na matiti, na hivyo huduma hiyo itaendelea kutelewa katika Halmashauri zote za Jiji la Dodoma.

Aidha, ikumbukwe kuwa, Ofisi ya Rais TAMISEMI ilishatoa maelekezo kwa Timu za Afya Mikoa na Halmashauri nchi nzima kwamba, wahakikishe wanazingatia kuanzisha huduma za Kliniki Tembezi ili, kuwapunguzia mzigo wananchi kufuata huduma mbali na makazi yao.

Na. Angela Msimbira KIKOMBO



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.