• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Ushindi ni kawaida yetu zingatieni nidhamu. Gerald Mweli

Imewekwa tar.: January 28th, 2022

Na Asila Twaha,  TAMISEMI

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu) Gelard Mweli amewataka wachezaji wa netiboli TAMISEMI QUEENS kuzingatia nidhamu na wacheze kwa kujituma katika kipindi chote cha michuano ya ligi ya netiboli ya Muungano.

Akizungumza  na wachezaji hao leo Jijini Dodoma wakati akiwaaga kuelekea Zanzibar  kushiriki ligi mpira wa netiboli ya Muungano inayotarajia kuanza  kesho Januari 29, 2022 Mweli amesema kuwa, nidhamu ndio msingi wa mafanikio  katika michezo hivyo amewataka  wachezaji hao  kuiwakilisha vyema Ofisi ya Rais –TAMISEMI katika nidhamu na ushindi.

“Najua kombe tutachukua sababu sisi ni washindi kila siku  ila zingatieni    nidhamu na uadilifu  katika kipindi chote cha michuano,  mkumbuke mnaiwakilisha Ofisi ya Rais -TAMISEMI, tunataka tusikie TAMISEMI Queens  sio kwamba inacheza vizuri tu  lakini pia kwa nidhamu inaongoza, nidhamu  ni sehemu ya ushindi” amesema Mweli.

Aidha, ameupongeza uongozi wa  TAMISEMI Sports Club kwa kujituma na  kuwekeza muda wao  ili  kuhakikisha timu hiyo inapata mahitaji yote muhimu  katika  ligi zilizopita na kuwataka    kuendeleza ari hiyo ili mafanikio hayo yawe endelevu.

“Niwapongeze viongozi mnaosimamia timu hii, mnajitoa sana nimeona katika ligi zilizopita umoja wenu na kujituma kwenu kumeleta matokeo mazuri katika timu yetu, niwaombe muendeleze ari hiyo” amesema Mweli

Pia amewahakikishia wachezaji wa Tamisemi Queens kuwa uongozi  wa Tamisemi unatambua jitihada zao katika michezo na wapo tayari kuhakikisha timu hiyo inafikia malengo walio jipangia.

Naye Timu Kapteni Dafroza Luhwago ameukushukuru uongozi wa Tamisemi kwa kuhakikisha timu hiyo inakuwa bora kwenye malezi ya kinidhamu na uchezaji pia, ameahidi watarudi na ushindi.


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TAMISEMI KUENDELEA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI.

    June 19, 2025
  • WAZIRI MCHENGERWA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA MATRIONI YA FEDHA KWA WANANCHI

    June 18, 2025
  • MWANZA BINGWA WA JUMLA UMITASHUMTA 2025

    June 18, 2025
  • MHE. RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI KWA MRADI WA SHULE  103 ZA AMALI, BILIONI 41 ZATENGWA KWA SHULE 26.

    June 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.