• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

UN-Migration watoa Vifaa Tiba Hospital za Murugwanza na Nyamiaga

Imewekwa tar.: June 14th, 2019

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo (Mb) amepokea vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 142 kwa ajili ya Hospitali teule ya Murugwanza na hospitali ya Nyamiaga wilayani Ngara vilivyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wahamaji (IOM).

Katika makabidhiano ya vifaa tiba yaliyofanyika kwenye Ofisi za Wizara jijini Dodoma Waziri Jafo ameiagiza kurugenzi ya afya kuangalia namna ya kununua  vifaa vya kisasa kama vilivyokabidhiwa na IMO kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma 352 ikiwamo kifaa ya upasuaji ambacho kinazuia utokwaji wa damu.

Jafo pamoja na kulishukuru Shirika la IOM, aliitaka kurugenzi ya afya kuangalia namna ya kuwa na vifaa vya kisasa katika vituo vya kutolea huduma 352 vinavyoendelea kujengwa Nchini.

“Hii mashine ni ya kisasa, ambayo daktari anaweza kufanya upasuaji hata kwa mama mjamzito mwenye damu kidogo kwasababu inauwezo wa kuzuia utokwaji wa damu wakatiwa upasuaji.

“ Wote tunajua kuwa suala la damu kwa mama wajawazito ni tatizo, na hata upatikanaji wa damu kwa wakati ni shida huku usalama wa damu yenye kwa sasa ni wa mashaka.

“Sasa tukiwa na kifaa kama hiki badala ya daktari kuhangaika kutafuta kumuongezea damu mama mjamzito ili amfanye upasuaji kwa kuwa na kifaa hiki anaweza kufanya upasuaji hata mwenye damu 5.

Jafo aliongeza: “ kwa sasa tunaenda kukamilisha vituo vya kutolea huduma za afya 352 na tumeanza kujenga hospitali za wilaya 67 na hospitali mpya 27 zitaanza kujengwa katika mwaka ujao wa fedha, basi niagize kurugenzi ya afya tukiwa tunaenda kwenye hatua ya kununua vifaa tuangalie aina hii ya vifaa.

Alisema mashine hiyo ya kufanyia upasuaji inauzwa kati ya Sh milioni 3 hadi nne wakati kifaa ambacho kinaweza kumsaidia daktari kupata mwanga wakati wa upasuaji hata kama hakuna nishati kinauzwa kati ya Sh laki 6 na laki 6.

Awali, Mwakilishi Mkazi wa IOM, Dk Qasim Sufi alisema taasisi yake iko katika mikoa 11 ya Tanzania na ikiwa na wafanyakazi 200 na 180 kati ya hao ni watanzania.

Alisema shirika hilo limekuwa likishughulikia kuwalinda wa hamaji ikiwa ni pamoja na kuwarejesha nyumbani wakimbizi.

“Unaweza kujiuliza imekuwaje IOM kusaidia vifaa vya kutolea huduma kwa hospitali hizi? Hii imetokana na tukio ambalo lilimetokea tukiwa kwenye operesheni ya kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Burundi.

“Kulitokea ajali ambayo ilisababisha vifo vya watu 8, na majeruhi wengi waliweza kuokolewa kwa kupatia matibabu kwenye vituo hivi viwili, lakini kulikuwa na chagamoto ya vifaa kwani mimi mwenye niliingia kusaidia katika kuokoa maisha ya watu.

Dk Sufi aliongeza: “ni tukio ambalo bado nalikumbuka, na sisi IOM bado tunaendelea na majukumu yetu na lolote linaweza kutokea huko, hivyo tukaoana tusaidie hospitali hizi mimbili vifaa mbalimbali ikiwamo hiki cha upasuaji ambacho kinaweza kumfanya mgonjwa asivuje damu nyingi, kwani tuliowapoteza walikuwa wamevuja damu nyingi.


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • REJESHENI MIKOPO ILI WENZENU WAPATE KUKOPA –KAMATI YA LAAC

    March 31, 2023
  • LAAC YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA UKARABATI SHULE YA SEKONDARI WASICHANA MTWARA

    March 31, 2023
  • KAMATI YA LAAC YAKAGUA MADARASA 7 YALIYOJENGWA KWA MAPATO YA NDANI NA NGUVU ZA WANACHI - MANISPAA YA SUMBAWANGA

    March 31, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.