• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Tumieni Kituo cha Biashara Kukuza Uchumi - Nzunda

Imewekwa tar.: November 10th, 2018

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – ELIMU (OR TAMISEMI) Tixon Nzunda, ameagiza kuanza kutumika kwa kituo cha huduma za biashara (one stop business centre) ifikapo mwishoni mwa mwezi huu bila kusubiri uzinduzi rasmi.

Nzunda ametoa kauli hiyo leo wakati akikagua miradi ya maendeleo katika halmashauri za Manispaa na Wilaya Kigoma na kuwataka Watendaji kuanza kutumia kituo hicho ili kuleta huduma kwa wananchi na kuongeza mapato ya Halmashauri hizo kama ilivyolengwa.  

“natumaini mwaka huu, mwisho wa mwezi huu tarehe 01.12.2018, kituo hiki kitaanza kufanya kazi zake kama tulivyokubaliana, Katibu Tawala hili ulisimamie, haiwezekani fedha nyingi zimetumika kujenga jingo hili na halitumiki kama ilivyokusudiwa”

Amesema idara za Ardhi, Biashara, Afya, Mamlaka ya Mapato Tanzania, Idara ya Uhamiaji na nyinginezo zihamie mara moja na kutumia jengo hilo ili kutoa huduma bora kwa wananchi.

Katika hatua nyingine Nzunda amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri za Kigoma Manispaa na Kigoma kuchukua hatua za kinidhamu kwa watumishi waliopoteza mashine za kukusanyia mapato ‘point of sales machine’ ambapo amewaagiza kuwa watumishi waliopoteza wawajibike kwa kulipa na kwa sasa zinunuliwe wakati utaratibu wa kuwakata unafanyika.

Kwa upande wake Mwailwa Pangani Mkurugenzi wa Kigoma Manispaa amesema jumla ya shilingi 699,000,000 zilitolewa na Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (Locasal Investment Climate) na kufanikiwa kujenga na kuboresha mradi wa mwalo ili kupunguza upotevu wa mazao ya uvuvi na kuongeza kipato kwa wavuvi na halmashauri ya Manispaa Kigoma.

Naye Upendo Mangali ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma amesema Mradi wa uwekezaji wa shughuli za kiuchumi kwa jamii (Local Investment Climate) LIC unaowezeshwa na Wadau umesaidia kuwepo kwa mabaraza ya biashara ya wilaya ili kukuza uchumi, kuwa na utaratibu wa ukusanyaji wa mapato kwa kutumia mfumo wa mapato ujulikanao kama LGRCIS ambao Programu ya LIC wamegharamia katika kuweka pamaoja na ufadhili wa vifaa wilayani Kigoma na pia ujenzi wa miundo mbinu katika soko la Kalinzi (Kalinzi )

Mangali amesema makusanyo ya mapato yameongezeka ambapo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 mapato yalikuwa shilingi 10,200,840 bila kutumia mfumo na kwa sasa ni shilingi 30,000,000 hali ambayo imeongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato

Katika ziara yake Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI ametembelea soko la Mwanga (Mwanga Night Market), soko la Kampuni ya Uendeshaji Mwaro wa Kibirizi linalosimamiwa na Kibirizi Landsite Company LTD na kuongea na watumishi na watendaji wa Mamlaka zote mbili.

Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (Locasal Investment Climate) unafadhiliwa na Wadau wa Maendeleo na unalengo la kuboresha huduma na mazingira ya biashara kwa wananchi na halmashauri ili kuinua kipato cha mwananchi wa kawaida.


Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Naibu Katibu Mkuu Mwambene aendesha kikao kazi kati ya Serikali na Umoja wa Ulaya

    May 14, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.