• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Tumieni fursa ya Katazo la Mifuko ya Plastic kuanzisha Viwanda

Imewekwa tar.: May 15th, 2019

WAKUU wa Mkoa kote nchini wametakiwa kutumia fursa ya tamko la Serikali la kuzuia matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kuhamasisha ujenzi wa viwanda vya mifuko rafiki wa mazingira.

Pia wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutekeleza agenda ya serikali ya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki katika maeneo yao.

Wito huo umetolewa jana jijini hapa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo na kusema ni vyema wakuu wa mikoa wakamasisha ujenzi wa viwanda vya mifuko mbadala ambavyo vitasaidia upatikanaji wa bidhaa hiyo na kutoa ajira katika maeneo yao

“Sasa mifuko ya plastiki haitatumika tena, pia kuna fursa  ya ujenzi wa viwanda, jambo hili litupe nafasi sisi wakuu wa mikoa kama mifuko ya plastiki haitumiki tuangalie jinsi gani katika kampeni yetu ya ujenzi wa viwanda vidogo, kati na vikubwa tukatumia fursa hii.

Aliongeza: “Mnakumbuka katika kampeni yetu ya miezi 12 ya kila mkoa kujenga viwanda vidogo, vya kati na vikubwa vipatavyo 100, lengu letu ilikuwa vijengwe viwanda 2,600 lakini tukajikuta viwanda 4,887 vimejengwa, kilikuwa ni kiwango kikubwa sana, hivyo sasa mtumie katazo la serikali kuhamasisha ujenzi wa viwanda vya mifuko rafiki wa mazingi, mrangi mmoja ukigungwa fursa maeneo mengi ya viwanda katika meneo yenu.

Aidha, Jafo pia amewataka wakuu wa mikoa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo katazo la mifuko ya platiki katika maeneo yao ili kuiwezesha Tanzania kuungana na nchi zilizokataa kutubia bidhaa hiyo.

“Ikiwa Juni 1 mwaka huu itakuwa mwanzo wa kutotumia mifuko ya plastiki, wakuu wa mikoa mnadhamana, tukiamua kukomesha hili kwa kuhakikisha mnaunga mkono agenda ya serikali ya kupiga matumizi ya mifuko ya plastiki ambayo imekuwa na madhara ya kiafya na kimazingira.

“ Wakuu wa mikoa mlifanya kazi nzuri sana pale serikali ilipopiga marufuku matumizi ya pombe za viroba, na sasa hali ni nzuri na huwezi kuioana mahali, basi ni imani yangu hata hili la marufuku ya matumizi ya mifuko ya plastiki mkisimama kidete litafanyika,” alisema.

Mwezi uliopita, Serikali ilitoa Tamko la kusitisha matumizi ya mifuko ya plastiki hapa nchini ifikapo Juni Mosi 2019, katazo lililolenga kuepusha athari za kiafya na mazingira zinazoendelea kujitokeza kutokana na matumizi ya mifuko hiyo.

Katazo hilo lililotolewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa linahusu kupiga marufuku uzalishaji, uingizaji, usafirishaji nje ya nchi, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko ya plastiki ya aina zote.

Katika kukabilana na hilo, Serikali imejipanga kuendesha operationi kabambe nchi nzima ya kusakama bidhaa hiyo.

Msako huo utahusisha vyombo vya ulinzi na usalama, kamati za ulinzi na usalama za mikoa, wilaya, mamlaka za serikali za mitaa, Maabara ya Mkemia Mkuu wa serikali, Shirika la Viwango Tanzania(TBS), Mamlaka ya Chakula na dawa(TFDA) Ofisi ya Taifa ya Mashitaka na Viwanja vya Ndege, Bandari, Forodha, Uhamiaji na Usafiri wa Nchi Kavu.


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • REJESHENI MIKOPO ILI WENZENU WAPATE KUKOPA –KAMATI YA LAAC

    March 31, 2023
  • LAAC YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA UKARABATI SHULE YA SEKONDARI WASICHANA MTWARA

    March 31, 2023
  • KAMATI YA LAAC YAKAGUA MADARASA 7 YALIYOJENGWA KWA MAPATO YA NDANI NA NGUVU ZA WANACHI - MANISPAA YA SUMBAWANGA

    March 31, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.