• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

TEHAMA kuongeza ufanisi kwa mtumishi wa afya ngazi ya zahanati

Imewekwa tar.: September 12th, 2018

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa kushirikiana na Wizara ya afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, Wazee na Watoto na Taasisi isiyo ya kiserikali ya PATH chini ya Mpango wa kuboresha Matumizi ya Takwimu za Afya (Data Use Partinership -DUP) imejiwekea mikakati ya kuongeza ufanisi katika utoaji huduma ya Afya kwa kuiweka Mifumo ya TEHAMA katika ngazi ya huduma ya Afya ya Msingi ili Wananchi waweze kupata huduma bora za afya.

Akitoa mada katika kikao kazi cha kuimarisha mifumo ya TEHAMA inayotumika katika Ngazi ya vituo vya afya kilichofanyika katika ukumbi wa NIMR, Jijini Dar-es-salaam Bi. Sultana Seif Afisa TEHAMA kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, Wazee na Watoto amesema ili kumuwezesha mtumishi wa afya ngazi ya zahanati na kuweza kutoa huduma stahiki ni vyema wakafanya kazi kwa ufanini atika utendaji kazi wa kila siku kwa kutumia TEHAMA.

Bi. Sultana amesema kuwa kumekuwa na changamoto mbalimbali katika upatikanaji wa huduma sahihi na upatikanaji wa takwimu sahihi za afya kwa jamii jambo ambalo linapelekea mtumishi wa afya ngazi ya zahanati kuwa na mzigo mkubwa unaopelekea kutojaza takwimu sahihi na kushindwa kuwahudumia wananchi kwa wakati.

Amesema Serikali baada ya kuona changamoto hiyo imejiwekea mikakati ya kumsaidia mtumishi wa ngazi ya zahanati kutumia TEHAMA katika ukusanyaji, utunzaji na utumiaji wa takwimu sahihi katika kufanya maamuzi.

 “Imekuwa ni utaratibu wa Mtumishi wa afya ngazi ya nchini kuwa na fomu nyingi za kujaza (mfano mtua) hivyo serikali iliamua kuingiza mifumo ya TEHAMA ambayo itakusanya taarifa zote na kuwa moja ili kumuwezesha mdau kuweza kupata takwimu zilizosahihi na kwa wakati za mgonjwa na mahitaji muhimu katika utoaji wa huduma” anasema Sultana.

Amesema kuwa lengo la kikao hicho ni kuwawezesha wadau kutoa changamoto zilizopo katika utoaji wa huduma katika ngazi ya Msingi ya utoaji huduma na kupendekeza jinsi ya kuboresha utoaji wa huduma za afya na kupunguza mizigo kwa watumishi.

Amesema kuwa kwa sasa serikali inampango wa kutoka katika matumizi ya karatasi na  kuingia katika matumizi ya TEHAMA hivyo kunatakiwa kuwa na Dira itakayosaidia kuonyesha muelekeo katika kufanya mabadiliko ya TEHAMA kwenye kutoa huduma za afya nchini

Aidha  amesema kuwa lengo kuu ni utoaji wa huduma bora kwa jamii, kuwa na takwimu sahihi na kwa wakati na kuingia katika mifumo ya TEHAMA  kutoa huduma sahihi na upatikanaji wa takwimu sahihi.

“Unakuta mtumishi wa afya katika ngazi ya Zahanati anahudumia mteja huku ukijaza fomu mbalimbali kwa ajili ya kuweka rekodi jambo ambalo linasababisha kutokuwa makini na ujazaji wa takwimu na kushindwa kuweka kumbukumbu sahihi.

Aidha amesema kuwa Mifumo ya TEHAMA itasaidia utoaji wa taarifa sahihi na kwa wakati , upatikanaji wa taarifa ya mgonjwa popote pale nchini kwa urahisi.

Naye Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Ustawi wa Jamii, Idara ya afya, Ustawi wa Jamii na lishe kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bw. Rasheed Maftah amesema kwa sasa TAMISEMI ipo katika hatua ya kuboresha huduma za afya ya msingi kwenye Mamlaka za Serikali za mitaa.

Anafafanua zaidi na kusema kuwa moja ya hatua ya msingi ni  kuimarisha huduma za afya kuanzia ngazi ya Zahanati kwa kuimarisha mifumo ya TEHAMA ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za afya kwa jamii.

Bw. Maftaa amesema kuwa Mpango wa kuboresha Matumizi ya Takwimu za Afya (Data Use Partinership –DUP)ulianza na mchakato wa kupata maeneo ya  kimkakati ya uwekezaji na baada  ya kupatikana ndipo utekelezaji ulipoanza ambapo kwa sasa upo katika hatua ya awali ya utekelezaji.

Aidha amesema sema Mpango huo utasaidia Mamlaka za Serikali za Mitaa kuongeza ufanisi na  ubora wa utoaji huduma kwa wananchi hususani katika Zahanati na vituo vya afya,  kuboresha miundombinu ya TEHAMA, kuawajengea uwezo watumishi  na kubadilisha mifumo ya awali iliyokuwa ikifanyika kwa njia ya karatasi  na kuingiza mifumo hiyo katika TEHAMA.



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • REJESHENI MIKOPO ILI WENZENU WAPATE KUKOPA –KAMATI YA LAAC

    March 31, 2023
  • LAAC YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA UKARABATI SHULE YA SEKONDARI WASICHANA MTWARA

    March 31, 2023
  • KAMATI YA LAAC YAKAGUA MADARASA 7 YALIYOJENGWA KWA MAPATO YA NDANI NA NGUVU ZA WANACHI - MANISPAA YA SUMBAWANGA

    March 31, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.