• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Jengo la TAMISEMI likamilika kwa 80%

Imewekwa tar.: May 22nd, 2019

UJENZI wa jengo jipya la ghorofa mbili za Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI linalojengwa katika mji wa serikali limekamilika kwa asilimia 80.

Hayo yamebainishwa jana jijini hapa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Joseph Nyamhanga alipokagua maendeleo ya ujenzi wa ofisi hizo.

Alisema ujenzi wa jengo hilo kwa sasa umekamilika kwa asilimia 80 na linatarajia kukamilika Mei 30 mwaka huu tayari kwa viongozi na wataalamu wa wizara hiyo kuhamia rasimi Juni 1 mwaka huu.

Nyamhanga alisema uhamiaji huo unatokana na kuwa vitu vya msingi katika jengo hilo vitakuwa vimekamilika na kazi ndogondogo za ukamilishaji wake zitakuwa zikiendelea wakati watumishi wako ndani ya jengo.

“ Kwa sasa ujenzi wa jengo letu la ghrofa mbili umekamilika kwa takribani asilimia 80 na linatakiwa liwe liemkamilika mwisho wa mwezi huu, ili kuanzia Juni Mosi basi viongozi na wataalam wanatakiwa kuingia kwa sababu vile vitu vya msingi vyote vitakua vimekamilika.”

Aidha, Nyamhanga alitumia fursa hiyo kuwataka mafundi wanaofanya kazi hiyo kufanya kazi usiku na mchana ili liweze kukamilisha ujenzi huo kwa wakati na ubora unaotakiwa.

Wizara ya Tamisemi ilikuwa ni miongoni mwa wizara tatu ambazo majengo yake hayakukamilika kutokana na kuamua kujenga ghorofa wakitumia mfumo wa force akaunti.

Hata hivyo, kutokana na kutokamilika kwa ujenzi wa jengo hilo, Rais John Magufuli aliagiza wizara zote bila kujali ukamilifu wa majengo yao.

Rais Magufuli alisema: “ Umeeleza (Waziri Mkuu Kassim Majaliwa) kuwa baadhi ya majengo hayajakamilika mojawapo ni jengo la TAMISEMI, wao waliamua kujenga jengo hilo ambalo liliwachelewesha.

“ Lakini siku ya ofisi umetaja Jumatatu (jana) na yeye (Waziri Sulemani Jafo) akakae kwenye jengo lake hilo hilo, akake humo humo, ili kusudi kuanzia Jumatatu Serikali yote iwe imehamia kwenye ofisi zao. Kwa hiyo viti vile mvihamishe ili wananchi wenye shida waje hapa, ili wabunge wanaokuja kutafuta barabara, waje hapa.

“ Tusipoamua hivyo, tutabaki na majengo huku, ofisi zitakuwa kwingine na mimi nitakachofanya, nikimtafuta (George-Waziri wa Utumishi) Mkuchika nitakuja hapa, sasa nikiambia Mkuchika yuko ofisi nyingine ya Dar es Salaam au wapi huko, ndio nitajua kuwa haya yalikuwa maneno. Mimi ninataka yale tuliyoyaahidi tuyafanye.

Kutokana na agzo hilo, Waziri na manaibu wake, makatibu wakuu na wataalamu walitii agizo hilo kwa kuhamia kwenye mabada yaliyokuwa yanatumika kuhifadhi vifaa vya ujenzi.

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.