• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Serikali yataka Wamiliki wa Shule Kuwa Wazalendo katika Utoaji wa Elimu

Imewekwa tar.: October 23rd, 2020

Na. Majid Abdulkarim, Dar es Salaam

Serikali imetoa wito kwa Wamiliki wa Shule Binafsi kuwa wazalendo katika kutoa elimu kwa kuhakikisha wanatoa elimu bora ili kuzalisha watoto wenye elimu bora itakayo wasaidia katika kulitumikia Taifa.

Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo jijini Dar es Salaam hapo jana katika hafla ya utoaji tuzo za kitaifa za Taaluma ya Elimu kwa walimu, wanafunzi, shule, halmashauri na mikoa iliyofanya vizuri kitaaluma kwa mwaka 2019 ambapo jumla ya tuzo 485 zimetolewa kwa washindi.

Waziri Jafo amesema kuwa utoaji wa tuzo unaleta ushindani mkubwa katika shule binafsi na Umma hivyo wamiliki wa shule wanatakiwa kutoa elimu bora kwa watoto wa kitanzania na kuacha kutanguliza maslai yao mbele bali uzalendo ili kupata watoto wenye elimu bora itakayowasaidia katika kulitumikia Taifa na kuleta maendeleo kwa ujumla.

“Utamaduni wa Utoaji tuzo utasaidia sana kuwaondoa watu wajanja ambao wanatupeleka pabaya ambapo sio muelekeo wa Taifa letu, mwelekeo wetu ni sisi wenyewe kujenga Taifa letu wenyewe kwa uzalendo mkubwa na wala hakuna mtu atakaye kuja kutoka nje kutujengea Taifa letu hata siku moja”, amesisitiza Mhe. Jafo

Aidha, Jafo amesema kuwa mwaka 2020 shule 10 bora za Kidato cha sita ni shule za nane za Umma ambapo shule tatu ni za kata huku shule iliyoongoza kitaifa ni Kisimiri, Mwandeti na Dareda.

“Hii ndiyo kazi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyotutuma sisi wasaidizi wake kufanya ya kuzalisha watoto bora kutoka katika shule za binafsi na umma watakaokuwa na moyo wa uzalendo wa kutumikia Taifa”

Vile vile, Mhe. Jafo ametoa pongezi kwa watendaji wote wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kazi nzuri iliyofanyika na wanayoendelea kufanya katika kuwatumikia watanzania ili kuwaletea maendeleo.

Naye Mmoja wa wanafunzi waliopata tuzo kutoka shule ya Kibaha, Alex Joseph amesema kuwa kitendo cha TAMISEMI kutoa tuzo hizo kinatoa hamasa kubwa kwa walimu, wazazi, wanafunzi  na Viongozi kwenye sekta muhimu  ya elimu ambayo ndio chachu ya maendeleo ya nchi.

“Hivyo natoa wito kwa kwa TAMISEMI kuendelea kutoa tuzo hizo kwani zinahamasisha wanafunzi wengi kufanya vizuri na kuendelea kujituma katika masomo yao” alisisitiza mwanafunzi Alex Joseph.



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.