• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Serikali Yakabidhi Mashine za Kutengeneza Vyeti vya Walipa Kodi

Imewekwa tar.: May 8th, 2019

Serikali imekabidhi mashine 13 za kutengeneza vyeti vya walipa kodi (Taxpayers Mobile Kits) zenye thamani ya shilingi milioni 167,553,376.00 zitakazotumiwa na Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kutoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za Biashara na Uwekezaji katika Halmashauri zote za Mikoa ya Dodoma na Kigoma Jijini Dodoma.

Akipokea msaada huo wa mashine 13 kutoka Serikali ya Denmark kupitia Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara nchini (LIC – Local Investment Climate) zilizokabidhiwa na Mwakilishi wa Mradi huo nchini, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya huduma za biashara ili kumpunguzia mfanyabiashara na wajasiriamali gharama za uendeshaji na uendelezaji wa biashara.

Mhandisi Nyamhanga amesema jumla ya vituo 13 vya biashara vimejengwa katika Mikoa ya Dodoma na Kigoma ambapo wadau wote wanaohusika na mchakato wa utoaji leseni za biashara watatoa huduma katika eneo moja.

Aidha, Nyamhanga amesema uboreshaji wa utoaji wa huduma katika vituo hivyo kutapunguza urasimu, kuongeza ufanisi na uwajibikaji, kupanua wigo wa walipa kodi na kuongeza mapato ya Serikali kama ilivyo azma ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Kwa upande wake Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, Bw, Charles Kichere amesema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Ofisi ya Rais TAMISEMI ni wabia wakubwa katika ukusanyaji wa mapoto nchini na ndiyo maana ushirikiano huo upo ambapo kwa hivi sasa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo (machinga), kodi za majengo na utambuzi wa wadau kwenye vitalu vya biashara unafanywa kwa pamoja.

Amesema TRA inaangalia namna ya kuwawezesha wafanyabiashara kwa siku 90 baada ya kufungua na kuanza kufanya biashara zao na hilo litasaidia kuwalea wafanyabiashara wadogo lakini pia vituo vya biashara vitasaidia kutoa elimu kwa walipa kodi.

Naye, Kiongozi wa Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji Bw. Donald Liya amesema lengo la kununua mashine hizo ni baada ya kubaini kuwepo kwa biashara ambazo hazijarasimiwa katika maeneo mbalimbali na hivyo kupelekea ukosefu wa mapato na takwimu za kibiashara kwa maendeleo ya Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.

Akitoa maelezo baada ya makabidhiano, Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) Ofisi ya Rais TAMISEMI Tixon Nzunda amesema Mradi wa wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji una maeneo mengi ya utekelezaji kama vile suala la kuimarisha mazingira ya ukuaji wa biashara, uboreshaji kongani katika biashara (value chains) kama masoko, miradi ya kilimo, viwanda vidogo, miradi ya kuwaimarisha wafanyabiashara wadogo

Awali akitoa maelezo akimkaribisha Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Charles Mhina amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI ilianzisha vituo vya biashara na Uwekezaji ili kuondoa adha kwa wajasiriamali ambapo watoa huduma wote wapo na walibaki ni Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ambapo sasa vifaa hivyo kwa ajili ya hao vimepatikana.

Pamoja na kutoa huduma za biashara na leseni huduma nyingine ni kutoa elimu ya mlipa kodi, kuandaa takwimu zinazohusiana na biashara na uwekezaji  kama vile masoko, bidhaa zinazozalishwa, biashara zilizopo na maeneo ya uwekezaji.

Vituo hivyo vya biashara vitakuwa na wataalam kutoka Halmashauri husika, Benki ya NMB, Mamlaka ya Mapato Tanzania, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Idara ya Uhamiaji kwa Halmashauri zilizopo pembezoni.    


Anaandika Fred Kibano OR - TAMISEMI



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.