• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Serikali Yaigiza TARURA Kujenga Barabara kwa Wakati

Imewekwa tar.: March 4th, 2019

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Seleman Jafo, amepiga marufuku tabia ya Wakala wa barabara mijini na vijijini TARURA, kuchonga viboksi barabarani wakati wa kuziboresha barabara hizo na kuacha mashimo  kwa muda mrefu na kuwa kero kwa watumiaji.

Waziri Jafo ameyasema hayo leo jijini Dodoma, wakati  wa ziara ya kukagua  miradi ya uboreshaji wa barabara za ndani  na nje ya jiji, zinazotekelezwa na Serikali kukabiliana na kero za foleni za barabarani.

Jafo amesema kuwa kuna tabia imejengeka ya TARURA wakati wa kurekebisha miundombinu ya barabara wamekuwa wakichonga viboksi na kuviacha kwa muda mrefu hali inayoleta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hizo, na kusababisha ajari hasa kipindi hiki cha mvua.

“Niagize Tarura tabia ya kuanza kuchonga barabara mnachonga viboksi wakati hamjajiandaa kuanza ukarabati na mnaacha viboks hivyo mwezi mmoja miezi miwili hiyo tabia muache, maeneo mengi nimepita nimeona, nikipita na kuona tena mkoa wowote meneja atakuwa hana kazi.” amesema Jafo.

Aidha, Jafo amemuagiza Wakala wa TARURA  Mkoa wa Dar es salaam hadi kufika alhamisi wiki hii awe ametoa maelezo kwanini mkoa huo umekuwa na mashimo mengi ambayo yamekaa muda mrefu bila kutengenezwa.

Na kuagiza ndani ya muda huo mashimo hayo yawe yametengenezwa kwani yanaleta adha kubwa kwa watumiaji wa barabara mkoani humo.

“Pia niagize Meneja wa Tarura mkoa wa Dar es salaam ndani ya siku tatu awe aniletee maelezo kwanini ndani ya mkoa wake amechonga mashimo na kukaa mda mrefu bila kutengeneza na anieleze kwanini kwenye mashimo hayo hajaweka rami na wananchi wanazidi kuteseka” amesema Jafo

Amesema kuwa   kama tarura haijakamilisha na kuwa tayari kuanza matengenezo kwanini wachonge mashimo hayo? Pia alipiga marufuku tabia wa wakandarasi kuweka vifusi wakati wa matengezezo na vifusi kukaa mda mrefu huku vikiendelea kuleta kero kwa watumiaji na waache tabia hiyo.

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Binilith Mahenge alimpongeza waziri Jafo kwa kufuatilia kwa makini miradi hiyo, na kuahidi kuitekeleza kwa umakini na kwa wakati ili adhima ya serikali iweze kutimia.

Naye Mratibu wa TARURA Mkoa wa Dodoma Mhandisi, Lusako Kilebwe, amesema kuwa  ukarabati wa barabara hizo za ndani na nje ya mji ni moja ya mbinu za kupambana na msongamano wa magari katika Jiji  ili liwezekuendana na hadhi ya kuwa Jiji.

Mhandisi Lusako amesema kuwa wao kama Tarura changamoto wanazokumbana nazo ni utumiaji mbaya wa wananchi katika miondombinu Hiyo na kusababisha kuharibika mapema.

“Sisi kama Tarura tunajitahidi kuboresha miundombinu na kukarabati lakini chanangamoto zinazotukabili na utumiaji wa miondombinu hiyo tunajenga barabara zenye taa lakini watu wanazigonga nguzo za barabarani watu wanaendesha huku wamelewa na wanazingonga na kuharibu.

Miongoni mwa barabara alizokagua Waziri wakati wa ziara hiyo ni pamoja na barabara ya VETA, barabara ya Ilazo, Swaswa na barabara ya martin Luther inayounganisha makazi ya Mhe Waziri Mkuu na mtaa wa Area D Jijini Dodoma na kuridhishwa na hatua zinazoendelea.


                                                      Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.