• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali Yaagiza Mikoa Kusimamia Miradi ya Maendeleo Kuleta Ufanisi

Imewekwa tar.: May 27th, 2019

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Joseph Nyamhanga amewaagiza Makatibu Tawala Mikoa Tanzania Bara kusimamia vyema miradi yote ya maendeleo katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa ili ikamilike kwa wakati na kwa thamnai ya fedha iliyopangwa.

Mhandisi Nyamhanga ametoa kauli hiyo wakati akiongea na Uongozi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara na Halmashauri za Babati Mji na Wilaya na wakati akikagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri hizo.

“Timu zote za Sekretarieti za Mikoa zinazosimamia miradi ya afya na miradi mingine zihakikishe kuwa kazi za miradi zinakamika kwa wakati uliyopangwa na kwa thamani ya fedha ile ile lakini pia utoaji wa huduma bora kwa wananchi ili kuleta tija”

Amesema miradi hiyo ni pamoja na ile ya sekta ya afya ambapo kuna ujenzi wa hospitali za Wilaya 67 unaotakiwa kukamilka mapema mwezi Juni, 2019, vituo vya afya 352 ambavyo ujenzi wake umebakia kwa baadhi ya vituo vya awamu ya tatu, miradi ya vikundi vya vijana, akina mama na watu wenye ulemavu kwa kutenga asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri husika, miradi ya barabara, stendi, elimu na mingine mingi inayotekelezwa katika Halmashauri zote nchini.

Aidha, Nyamhanga amesema katika mwaka wa fedha 2019/2020 Serikali itajenga hospitali mpya za wilaya 27 na vituo vipya vya afya zaidi ya 52 ili kuboresha sekta ya afya nchini kama ilivyokusudiwa na Serikali ya Awamu ya Tano kuboresha afya za wananchi.

Katika hatua nyingine Nyamhanaga amesema kuwa Serikali inaendelea kutoa fedha kwa ajili ya kugharimia Elimu Bila Malipo amabapo jumla ya shilingi Bilioni 29.5 zinatolewa kila mwezi katika vituo vya kutolea huduma moja kwa moja.

Amewaasa watumishi wa Serikali katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuacha kufanya kazi kwa mazoea bali wajitume ili kutoa huduma bora kwa wananchi ambao ndio walengwa wakuu katika sekta zote.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bw. Masaile Mussa akitoa taarifa ya Mkoa wa Manyara,  amesema kuwa katika sekta ya elimu kiwango cha ufaulu kimeongezeka ambapo mwaka 2018 darasa la saba ni asilimia 70 na kidato cha nne ni asilimia 84 na ufaulu huo unaongezeka kila mwaka na lengo lao ni kupita asilimia 80.

Aidha, Mkoa wa Manyara umefanikiwa kutoa vitambulisho 60,000 vya Mhe. Rais walivyopatiwa Mkoa wa Manyara ambapo mpaka sasa wafanya biashara wadogo wapatao 38,726 wamepatiwa vitambulisho na bado wanaendelea kugawa ili kufikia malengo waliyojiwekea kwa kugawa vitambulisho vyote.

Mhandisi Nyamhanga anafanya ziara yake ya kikazi mkoani Manyara ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI).

Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Naibu Katibu Mkuu Mwambene aendesha kikao kazi kati ya Serikali na Umoja wa Ulaya

    May 14, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.