• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
    • Machaguo Kidato cha 5 & Vyuo

Serikali Kubuni Mbinu Mpya za Kudhibiti Malaria nchini

Imewekwa tar.: October 11th, 2018

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Mussa Iyombe amewataka Wadau wa afya kuhakikisha mipango ya kupingana na malaria nchini inafanikiwa kwa kutumia mbinu stahiki na kwa wakati badala ya kutumia mbinu za siku zote zisizo leta matokeo chanya.  

Mhandisi Iyombe ameyasema hayo Jijini Dodoma leo wakati akifungua mkutano wa pamoja wa Watendaji wa Ofisi ya Rais TAMISEMI na Viongozi wa Mradi wa Vector Works unahusiana na ugonjwa wa malaria wenye lengo la kujadili utekelezaji wa mradi huo kulingana na vipaumbele vya Serikali.

Iyombe amesema tusiwekeze fedha nyingi katika kugawa vyandarua badala ya kununua viatilifu (dawa za kuua mazalia yote ya mbu) vitakavyotumika kuua mbu kwenye maskani yao lakini pia amewataka wajumbe kufanya tafiti na vikao vyenye kuleta matokeo na kufanya makubaliano ambayo yatawasaidia wananchi ambao ndio lengo kubwa.

“Kumekuwepo na tafiti nyingi za malaria na baadhi zinasema kuwa malaria inapungua kitu ambacho kiuhalisia sio kweli kwani malaria ipo na inaendelea kuwaua watanzania, kama tunataka kumaliza tatizo la malaria basi hao mbu tuwafuate kule kule wanapozaliana, tuwaangamize kulekule wanapozaliana”

Iyombe amewataka wajumbe hao wabadilike na kuelekeza hali halisi iliyopo katika Halmashauri na Mikoa na pia kuelekeza vitu ambavyo vitaleta matokeo chanya kwa haraka.

Naibu Katibu Mkuu (AFYA) Dkt. Zainab Chaula amesema lengo la wizara ni kuondoa kabisa malaria na ili tuwe timu moja lazima tuwe  na mkakati wa pamoja kwa maana ya wadau na Serikali kushikana mkono na kutembea pamoja kwani Sera ya malaria inayoandaliwa na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria ndiyo inayotumika katika nchi nzima

Amesema Usimamizi na Utekelezaji wa Sera hiyo upo chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI na ndio maana Wadau wote lazima wapitie wizarani ili kujua wanachoenda kufanya kwa wananchi kama mkakati wa pamoja na sio kila mmoja anajiamulia jambo lake.

Naye Mratibu wa Taifa wa malaria Dkt. Ally Mohammed amesema tayari wameweka mikakati kwa ajili ya kudhibiti malaria nchini kwani Halmashauri kwa sasa zinatenga fedha katika bajeti zao kwa ajili ya malaria katika mwaka huu wa fedha nah ii ni moja ya mafanikio makubwa.

Dkt. Ally ametaka Wadau na Serikali kuendelea kushirikiana pamoja katika kuufanyia kazi mpango kazi wa malaria kwani malaria bado ipo na hivi sasa hali ya malaria nchini ni asilimia 10 kwa tathmini ya mikoa yote lakini lengo la mpango wa Taifa ilikuwa kufikia asilimia 5 mwaka 2017 lakini kwa sasa ni asilimia 7.3 ijapokuwa kwa kiasi kikubwa malaria imepungua na nchi imepiga hatua.

Kwa upande wake Mratibu wa Malaria Taifa Ofisi ya Rais TAMISEMI Bi. Stella Kajange amesema kwa kuwa wote tunajenga nyumba moja, kila mmoja atimize majukumu yake na pia ametoa wito kwa Watendaji katika Mamlaka za Serikali za Mitaa wajue Zaidi matatizo yao ili katika hatua ya utekelezaji vipaumbele vyao vya malaria viweze kufanyiwa kazi badala ya kusubiri watafiti na wataalam ambao hawatoki maeneo yao.

Naomi Serbate Mtaalam Msimamizi wa Mradi wa Afya USAID Tanzania amesema Mradi wa malaria Tanzania unafadhiliwa na Chuo Kikuu cha John Hopkins na wanaendelea kutoa fedha kwa ajili ya kufanya tafiti, kuboresha Sera na kuamua kwa pamoja ni namna gani tufanye ili tusonge mbele.


Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Bilioni 776.6 zaelekezwa katika ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara vijijini na mijini katika mwaka wa fedha 2022/23

    August 14, 2022
  • TARURA KUONGEZA MTANDAO WA BARABARA ZA LAMI KM 1,450, CHANGARAWE KM 73,242’ ENG. SEFF

    August 14, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.