• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Pwani,Tabora yaibuka kidedea mita 100 UMISSETA

Imewekwa tar.: June 29th, 2021


Na Mathew Kwembe, Mtwara

Wanariadha Benedicto Mathias wa Pwani na Bora Hassan wa Tabora wameibuka washindi katika fainali ya mbio za mita 100 zilizofanyika leo katika uwanja wa chuo cha ualimu Mtwara.

Benedicto mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Filbert Bayi alitumia sekunde 11:22 kumaliza mbio hizo, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na mwanariadha Ally Bakari wa Dar es salaam ambaye alitumia sekunde 11:44 na Kassim Khamis wa Unguja alishika nafasi ya tatu baada ya kutumia sekunde 11:45 kumaliza mbio hizo.

Kwa upande wa wasichana, mshindi wa kwanza ambaye ni Bora Hassan wa Tabora alitumia sekunde 13:19, akifuatiwa kwa karibu na Stumai Msemwa wa Njombe ambaye alikimbia muda wa sekunde 13:28 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na mwanariadha Shija Paulpo wa Pwani ambaye alimaliza mbio hizo akitumia sekunde 13:47.

Katika fainali za mbio za mita 1500, washindi ni Damian Patrick wa Arusha na Loema Awaki wa Manyara ambao jana pia waliibuka kuwa washindi wa mita 3000.

Damian alitumia dakika 4:07:16, akifuatiwa na Paul Ndege kutoka Mara aliyetumia dakika 4:11:06 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na mwanariadha Augustino Leonard wa Manyara ambaye alitumia dakika 4:12:44.

Kwa upande wa wasichana nafasi ya kwanza ilikamatwa na Loema Awaki wa Manyara ambaye alitumia dakika 4:44:50, nafasi ya pili ilichukuliwa na Ester Martin ambaye pia anasoma shule ya sekondari ya Filbert Bayi baada ya kutumia dakika 4:46:80 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Nyanzobe Mbahi wa Mara aliyetumia dakika 4:49:66.

Katika fainali za mbio za kupokezana vijiti mita 100 x 4 mwanariadha Stumai Msemwa wa Njombe aliwaongoza wanariadha wenzake watatu kutoka mkoa huo kujitwalia medali za dhahabu baada ya kutumia jumla ya sekunde 55:66, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na mkoa wa Mara na Tabora ikashika nafasi ya tatu.

Michezo mingine ya riadha hatua ya fainali itafanyika kesho ambapo mshindi wa mbio za mita 200, 400 na 800 pamoja na mbio za kupokezana vijiti mita 400 x 4 zinatarajiwa kuhitimishwa katika uwanja wa chuo cha ualimu Mtwara.

Matokeo ya michezo mingine iliyofanyika asubuhi hatua ya robo fainali kwa upande wa mpira wa wavu wasichana Mtwara imeifunga Tanga seti 3-0, Dar es salaam imeifunga Tabora seti 3-2, Mara imeifunga Simiyu seti 3-0 na Mbeya imeichapa Manyara seti 3-0.

Kwa upande wa mpira wa kikapu wavulana robo fainali Pemba imeifunga Iringa kwa pointi 45-25, Mwanza imeishindilia Rukwa pointi 88-17, Songwe imechapwa na Lindi 9-10 na Mara imefungwa na Njombe kwa pointi 34-38.

Kwa upande wa mpira wa kikapu wasichana Songwe imechapwa na Ruvuma 9-23, Dodoma imeifunga Lindi 22-12 na Tabora imeibugiza Iringa vikapu 62-12.

Kwa upande wa mchezo wa mpira wa mikono, timu zilizoingia nusu fainali kwa wavulana ni Unguja, Dar es salaam, Tabora, na Morogoro, na kwa wasichana timu zilizoingia hatua hiyo ni Morogoro, Geita, Ruvuma na Unguja.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • TAMISEMI NA WWF KUJA NA MPANGO WA UTEKELEZAJI UHIFADHI WA MISITU VIJIJINI

    May 18, 2023
  • NDEJEMBI ATAKA UENDELEVU MFUMO WA M-MAMA

    May 17, 2023
  • DART WADART WATAKIWA KUANZA USANIFU WA HUDUMA MAJIJI MAKUBWA

    May 15, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.