• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Pwani, Simiyu watia fora fainali za mita 400 UMISSETA

Imewekwa tar.: June 17th, 2019

Na Mathew Kwembe, Mtwara

Mikoa ya Pwani na Simiyu imeibuka vinara kwenye hatua ya fainali za mbio za mita 400 za mashindano ya  Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (UMISSETA) yaliyofanyika leo katika viwanja vya Chuo cha ualimu Mtwara.

Mwanariadha Benedicto Mathias na mwenzake Amos Charles walijinyakulia medali za dhahabu na fedha kwa kushika nafasi ya kwanza na ya pili kwa upande wa wavulana huku nafasi ya tatu ikichukuliwa na mwanariadha Ismail Tosil kutoka mkoa wa Dar es salaam.

Mwanariadha Benedicto alitumia sekunde 51:30 kumaliza mbio hizo, na Amos alitumia sekunde 51: 50 huku Ismail wa Dar es salaam alitumia sekunde 52:48 kwenye mbio hizo za mita 400.

Kwa upande wa wasichana, medali ya dhahabu ilichukuliwa na mwanariadha Tereza Bernard kutoka Simiyu ambaye alitumia dakika 1:01:22, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na Emmy Hosea wa Singida aliyetumia dakika 1:02:35 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Rahel Nila kutoka Simiyu aliyetumia dakika 1:03:34.

Katika mchezo wa mbio za kupokezana vijiti wavulana, hatua ya fainali 4 x 400 nafasi ya kwanza ilichukuliwa na mkoa wa Pwani ambao walifanikiwa kujinyakulia medali ya dhahabu baada ya washiriki wake wane kutumia jumla ya dakika 3:39:08 huku nafasi ya pili ikienda mkoa wa Mara ambapo washiriki wake walitumia jumla ya dakika 3:39:22 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na mkoa wa Unguja ambapo washiriki wake wane walitumia dakika 3: 40:22.

Katika fainali za mbio za kupokezana  vijiti 4 x 400 nafasi ya kwanza ilichukuliwa na mkoa wa Pwani ambao kwa pamoja wanariadha wake wanne walitumia dakika 4:16:36 na hivyo kuibuka nafasi ya kwanza, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na mkoa wa Simiyu ambapo wanariadha wake walitumia jumla ya dakika 4:21:41 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na mkoa wa Singida baada ya wanariadha wake wanne kutumia dakika 4: 25:41

Katika hatua ya fainali za mbio za kupokezana vijiti 4 x 100 kwa wavulana nafasi ya kwanza ilichukuliwa na mkoa wa Dar es salaam, nafasi ya pili ilichukuliwa na Unguja na nafasi ya tatu ilichukuliwa na mkoa Mara.

Mara baada ya kumalizika kwa mbio hizo kulifanyika mbio za mita 100 kwa walimu,ambapo baadhi ya washiriki walitia fora kwenye mbio hizo kufuatia umahiri mkubwa waliouonyesha wa kukimbia licha ya umri wao mkubwa.

Mashindano ya UMISSETA yanatarajiwa kufungwa tarehe 21 juni, 2019 na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Prof Joyce Ndalichako katika uwanja wa Nangwanda sijaona Mtwara.

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.