• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo

Miradi ya TSCP yachochea uchumi Jiji la Mbeya

Imewekwa tar.: May 10th, 2019

Zaidi ya shilingi bilioni 14 zatumika katika ujenzi wa miundombinu ya barabara  na utengenezaji wa mitaro ya maji ya mvua katika Jiji la Mbeya jambo ambalo limesababisha uboreshaji wa mazingira na kuchochea uchumi wa Jiji  hilo.

Hayo yamesemwa na  Mhandisi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya na Mratibu wa Mradi wa Uimarishaji Miji (TSCP) Bw. Osward Kasambala wakati akitoa maelezo juu ya maendeleo ya Mradi huo kwa timu ya ufuatiliaji kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) iliyotembelea jiji hilo kwa lengo la kukagua maendeleo ya miradi iliyo chini ya  mradi wa uimarishaji Miji  Tanzania(TSCP)

Bw. Kasambala amesema Mradi wa Uimarishaji Miji Tanzania umesaidia ujenzi wa Miundombinu katika Jiji la Mbeya kwa kuboresha mazingira, kuongeza kasi ya uchumi, kuwawezesha wananchi kiuchumi na kuongeza Mapato ya Halmashauri ya Jiji hilo.

“Awali miundombinu ya Barabara katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya ilikuwa ni vumbi lakini kwa sasa baada ya Mradi wa TSCP kujenga miundombinu hali imekuwa tofauti kwani miundombinu imebadilika na kuwa kivutio kwa wananchi kukuza uchumi wa Jiji la Mbeya” Anafafanua Kasambala

Amesema mara baada ujenzi wa miundombinu ya barabara Halmashauri ya Jiji la Mbeya imeweza kuchochea hali ya uchumi na kuweza kuongeza mapato kutokana na wananchi wengi kuwekeza kwenye maeneo ambayo barabara zimejengwa ukilinganisha na awali ambapo barabara nyingi zilikuwa za vumbi.

Bw. Kasambala amezitaja barabara zilizojengwa chini ya Mradi wa Uimarishaji Mji (Tanzania Strategic Cities – TSCP) katika kipindi cha mwaka 2018/2019  kuwa ni barabara ya MUST yenye urefu wa kilometa 2.7,  barabara  kutoka Ilomba hadi Ivumwe yenye urefu wa kilometa 1.8 na ujenzi wa  Mtaro wa maji ya mvua  wenye urefu wa kilometa 2.8.

Wakati huohuo Bi Debora Mkemwa kutoka Ofisi ya Rais Tawala zaMikoa na Serikali za Mitaa ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa usimamizi wa ujenzi wa miundombinu hiyo na kuwataka kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo kwa wakati na kuzingatia ubora na dhamani ya fedha zilizotolewa kwa ajili ya mradi huo

Aidha  Jiji la Mbeya ni miongoni mwa majiji 5 na Halmashauri 3 ambazo zinanufaika na Mradi wa  uimarishaji wa miji unaosimamiwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na kufadhiliwa na Benki ya Dunia.

Na. Angela Msimbira OR-TAMISEMI MBEYA

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • BASHUNGWA AWAAGIZA VIONGOZI WA MIKOA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUTANGAZA MIRADI YA MAENDELEO.

    July 02, 2022
  • Mameya, Wenyeviti wa Halmashuri watoa kongole kwa Rais Samia kuibadili Dodoma

    June 30, 2022
  • MAMEYA, WENYEVITI WA HALMASHAURI SIMAMIENI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO- PROF. SHEMDOE

    June 30, 2022
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAFUNDA MAMEYA, WENYEVITI WA HALMASHAURI

    June 27, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.