• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Mashindano ya UMISSETA yaendelea jijini Mwanza

Imewekwa tar.: June 8th, 2018

Na Mathew Kwembe, Mwanza

Mashindano ya UMISSETA yanayoendelea katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Butimba na Shule ya Sekondari Nsumba yanatarajiwa kufunguliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa mnamo tarehe 9 juni 2018 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Hadi kufikia jana mashindano hayo yameshuhudia michezo mbalimbali ikichezwa katika viwanja vya Nsumba na Butimba ambapo jumla ya mikoa 28 inashiriki mashindano hayo

Kwa mujibu wa matokeo yaliyotolewa na Mratibu wa mashindano hayo bwana Leonard Tadeo, katika mchezo wa mpira wa miguu wavulana, timu za Kilimanjaro na Mbeya zilitoka sare kwa kufungana goli 1 kwa 1 huku Ruvuma wakiifunga Kigoma 2-1.

Matokeo mengine yanaonyesha kuwa Geita waliifunga Dar es salaam 1-0, Shinyanga 1 na Simiyu 1, Singida 2 na Dodoma 1, Tanga 1 Pemba 0, Iringa 1 na Katavi 1, Rukwa 0 na Arusha 0, Mwanza 3 na Tabora 0, Unguja 2 na Njombe 0, Morogoro 1 Mara 0, na Manyara 0 Mtwara 0.

Kwa upande wa mpira wa miguu wasichana matokeo yanaonyesha Mbeya 3 Lindi 0, Ruvuma 1 Kilimanjaro 1, Dar es salaam 4 Geita 0, Simiyu 2 Shinyanga 1, Singida 1 Mara 1, Arusha 2 Iringa 1, Mwanza 2 Katavi 1na Morogoro 3 Njombe 2.

Matokeo ya Netiboli yanayonyesha wasichana Shinyanga 23 Tanga 15, Mara 31 Njombe 15, Dar es Salaam 55 Kilimanjaro 8, Dodoma 29 Simiyu 17, Morogoro 45 Kagera 13, Geita 31 Ruvuma 27, Manyara 19 Mtwara 17, Mbeya 25 Kigoma 20, Mwanza 44 katavi 19, Arusha 28 Rukwa 23,

Kwa upande wa mpira wa kikapu wasichana, Morogoro iliibugiza Manyara kwa vikapu 106 kwa vikapu 16. Matokeo mengine yanaonyesha Kigoma 48 Geita 31, Mtwara 35 Mara 19, Mwanza 31 Arusha 16,  na Iringa 20 Arusha 17.

Katika mchezo wa mpira wa kikapu wavulana matokeo yanaonyesha kuwa Kilimanjaro 26 Dar es salaam 15, Dodoma 34 Shinyanga 24, Tanga 40 Pemba 28, Unguja 62 Njombe 13, Mara 43 Kagera 11, Mbeya 68 Lindi 11, Dodoma 53 Pemba 23, Dar es salaam 32 Kigoma 15, Tanga 55 Songwe 10, Katavi 69 Tabora 13, Pwani 101 Rukwa 14, na Arusha 40 Iringa 37.

Matokeo ya mpira wa wavu wavulana yanaonyesha kuwa Manyara imeifunga Unguja kwa seti 3- 2. Matokeo mengine yanaonyesha Morogoro 3 Kagera 0, Mtwara 3 Njombe 1, Shinyanga 3 Dodoma 0, Dar es salaam 3 Kigoma 0, Tanga 3 Songwe 0, Mbeo 3 Lindi 0, Singida 3 Pemba 0, Manyara 3 Njombe 0, Mara 3 Kagera 0, Arusha 3 Iringa 1 Mwanza 3 Katavi 0 na Pwani 3 Tabora 1.

Mpira wa wavu wasichana matokeo yanaonyesha Manyara 3 Kagera 0, Simiyu 3 Dodoma 1, Tanga 3 Songwe 0, Mbeya 3 Lindi 2, Singida 3 Simiyu 0, Iringa 3 Tabora 0 na Mwanza 3 Arusha 1.

Kwa upande wa mpira wa mikono wasichana katika michezo iliyochezwa jana matokeo ni Mtwara 12 Kagera 8, Songwe 20 Tanga 8, Mbeya 11 Lindi 8, Dar es salaam 13 Kilimanjaro 8. Njombe 5 Manyara 5, Tabora 7 Iringa 3, Katavi 11 Rukwa 6 na Mwanza 16 Iringa 13.

Mpira wa mikono wavulana matokeo ni Dar es salaam 26 Kilimanjaro 7, Songwe 23 Dodoma 18, Kilimanjaro 15 Ruvuma 9, Singida 17 Songwe 14, Unguja 25 Njombe 17, Mara 20 Kigoma 12, Dodoma 16 Simiyu 1, Kigoma 25 Geita 13, Rukwa 17 Pwani 16, Mwanza 19 Katavi 12, na Arusha 23 Iringa 15



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Naibu Katibu Mkuu Mwambene aendesha kikao kazi kati ya Serikali na Umoja wa Ulaya

    May 14, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.