• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Maagizo sita ya Rais Samia kwa TAMISEMI haya hapa

Imewekwa tar.: April 6th, 2021

Nteghenjwa Hossesh, OR-TAMISEMI

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo sita kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), huku akisisitiza ukusanyaji wa mapato na matumizi ufanyike kulingana na matakwa ya sheria na kanuni.

Kauli hiyo ameitoa leo alipokuwa akiwaapisha Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi, Jijini Dar es Salaam.

“Nimemleta mwanamama madhubuti(Ummy Mwalimu) nimempa Katibu Mkuu mzuri na wasaidizi niimani yangu kazi itafanywa, najua TAMISEMI ni Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi na hiyo kazi inafuata hivi karibuni ili safu itimie na kazi iende kufanywa,”amesema Mhe. Rais Samia.

Akizungumzia kuhusu haki za wananchi, Mhe.Rais Samia amesema imezoeleka viongozi wa kitaifa wanapokwenda ziara hupokelewa na mabango ya wananchi wakilalamikia kero mbalimbali.

“Mabango mengine sio masuala au mambo ya kushughulikiwa ngazi za juu ni masuala ya kushughulikiwa huko chini kwa hiyo naomba tunapokuja huko tukikuta bango liwe masuala ya kitaifa lakini sio mambo yakushughulikiwa huko chini.”

“Nataka niseme bango moja aidha Mkurugenzi au Mkuu wa Wilaya amekwenda na hii haina maana mkazuie watu kuandika kero zao kwasababu najua tunapokuja watu wakija na mabango mnaenda mbio kuyakusanya na kuwanyuka watu na kuwapeleka mnapopajua nyie ili wasiseme yanayowasibu naomba kero za wananchi zishughulikiwe, tumekuja tumekuta bango moja Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi umekwenda na tukikuta malalamiko mnawafinya wananchi wasiseme hivyo hivyo tutashughulikiana,”amesema Mhe.Rais.

Aidha, amesema TAMISEMI ina jukumu la Afya ya watanzania na kuitaka kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya Afya na Elimu ili watanzania wapate fursa zaidi ya kuelimika na kupata huduma za afya

“Kwenye miundombinu ya elimu ni shule za sekondari za wasichana, zina bajeti maalum naomba zikasimamiwe, tunatarajia kujenga shule 26 hadi 2025 hili likatimie,”amesema.

Pia kuendelea kujenga hospitali za Wilaya, pia vituo vya afya na kumaliza maboma ya zahanati.

“Natambua kwamba kuna walimu 6000 au zaidi ambao wengine wameacha kazi, kustaafu, kufariki na sababu mbalimbali na inahitajika warudishiwe, hawa sio ajira mpya ni replacement, Utumishi mpo hapa pamoja na TAMISEMI naomba mkalitizame hilo, walimu 6000 warudishwe haraka ili wakatoe huduma kwa watanzania,”amesema.

Kadhalika, amesema upande wa afya kuna ajira za madaktari kutokana na ujenzi kukamilika wa Vituo vya afya na Hospitali na bajeti ya mwaka huu ni kuweka vifaa na watumishi.

“Kwa hiyo Utumishi na TAMISEMI muendele kuangalia hilo la watumishi na vitendea kazi kwenye huduma za afya na vilevile sekta ya elimu,”amesema.

Kadhalika, amesema Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini(TARURA) imepewa kazi ya barabara za vijijini na kwamba kuna haja kubwa sana baada ya mvua kunyesha ya kutengeneza barabara lakini uwezo ni mdogo.

“Kuna Halmashauri zina uwezo mkubwa kifedha, TARURA na TAMISEMI angalieni mtakavyoshirikiana kama TARURA ina ukosefu wa fedha lakini Halmashauri zinafedha angalieni hilo na zile zitakazotoka Hazina zitaenda upande mwingine,”amesema.

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.