• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Jafo Aagiza Halmashauri Kutenga Fedha Kukarabati Samani za Shule

Imewekwa tar.: February 21st, 2020

Serikali imeziagiza halmashauri zote nchini kukarabati samani za shule kupitia fedha zinazopelekwa shuleni za program ya Elimu Bila Malipo ili kuondoa tatizo la madawati kwenye shule nchini.

Kauli hiyo imetolewa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo wakati akipokea taarifa ya tafiti iliyofanya kati ya Chuo Kikuu cha Dodoma na taasisi ya Mdigri Logistics kuhusu vifaa vya Ufundishaji na Ujifunzaji kwenye shule za sekondari iliyofanyika katika mkoa wa Dodoma hafla iliyofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma Jijini Dodoma.

“nielekeze Mamlaka za Serikali za Mitaa katika halmashauri zote kupitia Wakurugenzi, kupitia na kushughulikia madawati na meza zote zinakarabatiwa kupitia fedha za Elimu Bila Malipo”

Jafo amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kutumia vikundi vya vijana kufanya ukarabati wa miundombinu ya madarasa, madawati na vifaa vingine vya shule ikiwa ni sehemu ya kuwapa ajira vijana na kuboresha mazingira ya elimu katika shule zilizopo kwenye mamlaka zao badala ya kusubiri kutenga fedha kutengeneza madawati mapya.

“halmashauri zitumie vikundi vya vijana kufanya uakarabati wa miundombinu ya madarasa, madawati na vifaa vilivyopo katika shule, haiwezekani kusubiri kutenga fedha za  madawati mapya wakati yapo madawati ya zamani na hayajakarabatiwa” alisema Waziri Jafo.

Waziri Jafo amesema pamoja na watendaji hao kukarabati samani za shule pia wakarabati miundombinu ya shule yakiwemo majengo, matundu ya vyoo, madarasa na miundombinu mingine kwenye sekta ya elimu yaweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu.

Aidha amewataka Wakuu wa shule kuendelea kusimamia masuala ya kitaaluma, mazingira na miundombinu kama kipaumbele chao na kuboresha hali ya taaluma nchini.

Jafo amewataka watafiti hao na wengine kuendelea kufanya tafiti kwenye sekta ya elimu na kuyapa kipaumbele maeneo mengine kama miundombinu ya vyoo, madarasa na vinakilishi ili kutoa mchango wa kufanya maboresho kwenye elimumsingi.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Benilith Saatano Mahenge amesema watafiti wamefanya tafiti na kubaini tunalo tatizo katika eneo la elimu na kwamba watanzania hatuna utamaduni wa kukarabati madawati na miundombinu hivyo tafiti itatusaidia kuboresha miundombinu kwenye sekta ya elimu.

Awali Dkt. Ombeni Msuya kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma aliwasilisha taarifa ya tafiti ya vifaa vya Ufundishaji na Ujifunzaji kwenye shule za sekondari 35 na kusema kuwa utafiti huo umefanyika kwenye halmashauri 7 zote za mkoa wa Dodoma kuanzia mwezi Januari, 2019 hadi januari, 2020 na kubaini changamoto kadhaa yakiwemo kutokuwepo kwa zana za kufundishia zinazokidhi mahitaji, kuwepo kwa viti, meza na vifaa vya maabara visivyo na ubora, kuwepo kwa meza 91,000 na viti 915 ambavyo havitumiki na vinahitaji ukarabati mdogo.

Dkt. Msuya ametoa rai kwa Serikali kuundwa kwa kikundi kazi kitakachokuwa kinakarabati samani na miundombinu ya shule ‘Maintainance Mobile Unit’ ambao wanaweza kutoka katika vyuo vya ufundi ili kuendelea kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia shuleni.

Kwa upande wake Yoram Mkwawa Mkuu wa shule Mbabala ametoa rai ya kuendelea kuwaelimisha wananchi kuhusu Sera ya Elimu Bila Malipo kwani kuna upotoshwaji mkubwa kuhusu sera hiyo ambapo wazazi hawapo tayari kuchangia chochote kwa ajili ya maendeleo ya shule zao lakini pia amewataka Wakuu wa shule kuwa wabunifu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali shuleni badala ya kusubiri fedha kutoka Serikalini.

                   Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.