• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Jafo ashangazwa na kutokamilika kwa ujenzi wa kituo cha Afya Mkonze

Imewekwa tar.: June 12th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo amekasirishwa na kasi isiyoridhisha ya ujenzi wa kituo cha Afya Mkonze Jijini Dodoma.

Waziri Jafo ameonyesha hali hiyo wakati alipotembelea KItuo cha Afya Mkonze kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho ambacho kimepokea fedha za ujenzi Tsh. Mil 400 mapema mwezi Disemba, 2018.

“Sikutegemea kukuta kituo cha Mkonze kikiwa katika hali hii, kituo hiki ni miongoni mwa vituo vilivyopelekewa fedha mapema tu na kiko mjini tena Makao Makuu ya Nchi mnashindwa na Halmashauri ambazo ziko pembezoni huko na zina changamoto nyingi lakini wameshakamilisha ujenzi nini kinakwamisha ujenzi wa kituo hiki.

Kituo hiki cha Mkonze kilitakiwa kiwe cha mfano, ujenzi ukamilike mapema kwa sababu kila kitu kiko karibu yenu, vifaa vya ujenzi  mnavipata kwa urahisi, hakuna changamoto ya usafiri ili mfike hapa hata Ofisi ya TAMISEMI iko hapa hapa sasa endapo mmekwama kitu mna njia nyingi za kutatua nashindwa kuelewa kwanini mpaka leo bado mnasua sua kukamilisha ujenzi wa kituo hiki” alisema Mhe. Jafo.

Waziri Jafo aliongeza kuwa Wananchi wanataka huduma za Afya  hawataki  hadithi  Mnatakiwa kuongeza kasi ya ujenzi na kukamilisha majengo yote yanayotakiwa tena kwa ubora wa hali ya juu na ifikapo Juni, 30 kituo hiki kikwe kimeshakamilika.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amesema kuwa fedha walizopokea ni Tsh Mil 400 kwa ajili ya ujenzi wa kituo hicho lakini kutokana na hadhi ya Jiji waliona watafute fedha zaidi ili kufanya Kituo hicho kiwe na ubora sawa na vituo vingine vilivyojengwa Jijini Dodoma.

“Tumeongeza Tsh Mil 100 kutoka katika mapato ya ndani ya Halmashauri sasa fedha hizi zilichelewa kubadilishiwa matimizi kwenye bajeti “Realocation” hiyo ndiyo sababu pekee iliyopelekea kuchelewa kwa baadhi ya kazi za ujenzi katika kituo hiki cha Mkonze;

Lakini kwa sasa tumeshafanikiwa kuhamisha izo fedha na tumepokea maelekezo na tutasimamia kuhakikisha kituo hiki kinakamilika ndani ya muda uliopangwa” Alisema Kunambi.

Ofisi ya Rais Tamisemi inatekeleza Mpango wa Maboresho wa Huduma za Afya ambapo Vituo vya kutolea huduma za Afya 352 vipo katika hatua mbalimbali zaukarabati, ujenzi na ukamilishaji. Kazi hii imefanyika kwa awamu tano.

Kati ya hivyo 304 ni Vituo vya Afya ambavyo vitatoa huduma za dharura ya upasuaji kwa mama mjamzito.


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.