• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Halmashauri 144 zanufaika na MEWAKA

Imewekwa tar.: May 13th, 2022

Asila Twaha – Bukoba Dc

Halmashauri 144 kati ya 184 zilizoko Tanzania bara zimenufaika na mafunzo endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) ili kuwajengea uwezo  walimu katika utoaji wa elimu bora na kuendana na uboreshaji wa Elimu unaoendelea nchi nzima.

Mratibu wa Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini(MEWAKA) Cosmas Mahenge amesema, mpaka sasa Walimu kutoka Halmashauri takribani 122 zimeshapatiwa mafunzo hayo na sasa wanamaliza katika Kanda ya Ziwa na Magharibi.

Mahenge ameleeleza hayo tarehe 9 Mei, 2022 Mkoani Kagera wakati akiongea na walimu wakati wa kufungua mafunzo  hayo anakueleza kuwa, mafunzo hayo yamelenga walimu wa shule ya awali na msingi lengo ni kuwaendeleza kitaalam na kitaaluma kuwapa mbinu za ujifunzaji na ufundishaji na jinsi ya kuweza kutatua changamoto wanapokuwa katika vituo vya kazi.

Amesema mafunzo ya MEWAKA mbali ya kujifunza mbinu za ujifunzaji na ufundishaji  yatamsaidia mwalimu kuendana na mabadiliko yanayotokea katika elimu  na jamii tunayoishi na walimu  ni lazima wabadilike.

tunaamini umahiri  na njia bora ya mwalimu anayotumia  ndio inaenda kumsaidia mwanafunzi awe bora zaidi.

Aidha, amesema baada ya mafunzo hayo kumalizika takribani walimu 26,657 watakuwa wamepata mafunzo na Halmashauri 144.

“Niwaombe walimu pamoja na kuendelea kwamafunzo haya yasiathiri ratiba za  kufundishia madarasani hivyo kila mmoja asingatie sheria, kanuni na taratibu za mafunzo na tuwe mabalozi  wazuri kwa walimu wenzetu na wanafunzi wetu tunaowasimamia” amsesema Cosmas

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Wawezeshaji wa MEWAKA Bw. Ferdinand Mlandali amesema, maufunzo yatamsaidia mwalimu kujifunza na kuendana na mabadiliko ya sekta ya elimu.

Walimu watawezeshwa kujua njia za kujifunza ikiwemo mitaala na kumsaidia kuendana na karne ya 21 ikiwa ni pamoja na  mawasiliano, ubunifu, namna ya kujifunza kwa pamoja ili kuwasaidia wanafunzi hata wanapo rudi nyumbani waweza kufanya vizuri.

Aidha, amesema mafunzo haya pia yatamuwezesha mwalimu kujua njia ya “learning management system” na kuweza kujifunza kutumia maktaba mtandao kwa kuweza kupakua/kupata na  materials mbalimbali.

Naye Sista Felista Pamerace(Mwl.Shule ya Msingi Mwemage) amesema, wapo tayari kujifunza na kuelekezwa na kuwa mabalozi wazuri wa walimu wenzao kwa kuwaelekeza na  kwa wanafunzi kuweza kuwafundisha.

“Tuliomba muda mrefu Serikali iweze kutupatia mafunzo haya kwa kuanza kwa mafunzo haya ya MEWEKA yatatusaidia sisi walimu kuweza kutumia ile elimu tutakayoipata kuweza kuwapatia  wanafunzi wetu  na jamii kwaujumla. 

Tunaishukuru Serikali tunaomba iendelee  na  mafunzo haya ”amesema Mwl. Bryson Rugemalila mshiriki wa mafunzo

Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) kwa Kanda ya Magharib yanaendela kufanyika  Mikoa ya Kagera, Kigoma, Shinyanga na Tabora.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.