• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Geita DC Yaongoza katika matumizi bora ya vyoo.

Imewekwa tar.: March 21st, 2018



Na. Bathromeo C Chilwa -Halmashauri ya wilaya ya Geita

Halmashauri ya wilaya ya Geita imeibuka kidedea katika matumizi safi ya vyoo dhidi ya wilaya za Babati, Karatu, Chato na Kwimba  zilizoshiriki katika mradi wa “Usafi wa mazingira endelevu kwa watu wote” uliokuwa ukisimamiwa na Shirika la maendeleo  la nchini Uholanzi (SNV).

Hayo yameelezwa na Jackson Wandera wakati wa kikao cha wadau  cha kufunga mradi na kuweka mikakati ya kundeleza programu hiyo  ulioshirikisha vijiji 72 kwa muda wa miaka minne kuanzia mwaka 2014 hadi machi 31 mwaka huu kwa vijiji ambavyo vilikua havipo katika Mpango wa Kampeni ya Kitaifa ya Usafi wa Mazingira(NSC).

“Mwaka 2014 hali ya uchafu wa mazingira ilikua mbaya kutokana na  kukosa vyoo safi na bora kwa wakazi wa Geita, ambapo asilimia 24% ya wakazi  wa vijiji hivyo 72 walikua wanajisaida vichakani. Asilimia 65% walikua na vyoo vya kawaida, Asilimia 38% walikua na vyoo bora na asilimia 1%  tu ndio walikua  wananawa mikono yao baada ya kutoka chooni hali iliyopelekea mlipuko wa magonjwa  kama kipindupindu na hii ni sababu kubwa iliyotufanya SNV kuungana nanyi kusaidia jamii ya Geita.” Amesema Wandera

Aidha Wandera ametoa matokeo ya tathimini na kuisifu Halmashauri kupiga hatua na kuondoa tatizo la kujisaidia porini kwa kufikia asilimia 01% ukilinganisha na wakati mradi huu unazinduliwa, Pia wakazi wanaotumia vyoo wamefikia asilimia 95%,wale wenye vyoo bora wamefikia asilimia 87% na wakazi wanaonawa mikono na sabuni  baada ya kutoka chooni  ni asilimia 04%.

Kwa upande wa mwakilishi kutoka Idara ya elimu Msingi Mwalimu Nassuna Henry amesema tayari elimu ya matumizi safi na bora ya vyoo imefika katika shule zote za msingi 176 na inasisitizwa kutumia vyoo vya safi vinavyosaidia kulinda mazingira na kwa gharama nafuu.

Mradi huo ulishirikisha wilaya za Chato, Geita, Kwimba, Babati na Karatu kwa lengo la kusaidia jamii kuimarisha  matumizi bora ya vyoo, Kunawa mikono na sabuni baada ya kutoka chooni na kusisitiza matumizi ya vyoo bora vya safi ambavyo ni vya bei nafuu.

Kikao hicho kilihudhuriwa na wadau mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Washirika wa maendeleo kutoka shirika la SNV, Watendaji wa Kata, wadau wa SNV vijijini pamoja na waandishi wa habari.

Source www.geitadc.go.tz

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • REJESHENI MIKOPO ILI WENZENU WAPATE KUKOPA –KAMATI YA LAAC

    March 31, 2023
  • LAAC YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA UKARABATI SHULE YA SEKONDARI WASICHANA MTWARA

    March 31, 2023
  • KAMATI YA LAAC YAKAGUA MADARASA 7 YALIYOJENGWA KWA MAPATO YA NDANI NA NGUVU ZA WANACHI - MANISPAA YA SUMBAWANGA

    March 31, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.