• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Dodoma lazidi kuwa Jiji la Mfano

Imewekwa tar.: May 9th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Mhe.Selemani Jafo(Mb) amesema Serikali itaendelea kutenga fedha na kuelekeza miradi ya Kimkakati katika Jiji la Dodoma ili Jiji hilo liweze kuwa bora kama yalivyo majiji mengine ya Kimataifa.

Waziri Jafo aliyasema hayo katika  hafla ya utiaji saini mkataba wa ushauri katika utafiti na usanifu wa mfumo wa utiririshaji wa maji ya mvua na maandalizi ya mpango wa uboreshaji wa mifumo ya mitaro ya maji ya mvua na maji taka katika jiji la Dodoma kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2020 hadi 2040.

Jafo amesema kuwa Jiji la Dodoma linatakiwa kuendana na hadhi ya kamao makuu hivyo inahitaji fedha za kutosha za kuweza kuwekeza katika miundombinuyenye ubora itakayobadilisha sura ya Jiji.

“Hapa kunatakiwa kuwa na Maduka makubwa (Shoping Malls), Hoteli za hadhi ya nyota tano, majengo ya biashara, vivutio vya Utalii hata ikiwezakana patengenezwe bahari na fukwe za kupumzikia hii itafanya wananchi wa Jiji hili kupata huduma zote muhimu na kufurahia maisha wakati wote” Alisema Jafo.

Akizungumzia mkataba wa utafiti na usanifu amesema anachokitaka ni kuona mradi huu unajibu hoja za Wananchi wa Jiji hili kwa zaidi ya miaka ishirini ijayo kusiwe na changamoto katika eneo la maji taka na maji ya mvua.

Wakati huo huo, Waziri Jafo ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato na usimamizi makini katika matumizi ya mapato hayo.

“Jiji la Dodoma ndiyo Jiji pekee linaloongoza kwa ukusanyaji wa pato ghafi kwa Halmashauri zote nchini lakini kukusanya ni jambo moja na kutumia ni jambo linguine nafurahia leo kuona mnasini mkataba miradi ya maji katika kata ya Hombolo hongereni sana kwa hilo.

Akisoma taarifa ya mradi huo Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amesema mradi huo utatoa suluhisho la kudumu katika kupambana na mafuriko ya mara kwa mara katika Jiji la Dodoma na utaweka mfumo thabiti wa ukusanyaji wa maji taka ili kuhakikisha mazingira ya jiji yanabaki kuwa nadhifu wakati wote.

Lengo la mradi huo ni  kuandaa mpango jumuishi wa mifumo ya maji ya mvua na maji taka  ambao utahusisha  mifumo ya maji ya mvua, ukusanyaji wa maji taka kutoka kwenye ngazi ya kaya, usafirishaji salama kutoka kwenye makazi, uhifadhi pamoja na uchakataji kwa lengo la kubadili maji taka kuwa bidhaa nyingine kwa matumizi anuai yenye tija na salama kwa jamii

Mradi utatekelezwa na mshauri msanifu toka kampuni ya Cheil Engineering Co. Ltd kutoka Jamhuri ya Korea Kusini kwa kushirikiana na kampuni ya AJOMA Consult Ltd. ya Tanzania kwa mkataba wenye gharama ya Shilingi 1,575,573,813.10, ambao utatekelezwa kwa muda wa miezi 12 kuanzia tarehe Mei 6, 2019 mpaka Mei 5, 2020.

Aidha Mradi huu uko chini ya mradi mama wa Uendelezaji wa Miji Mkakati  (TSCP) awamu ya pili unaosimamiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI.


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • REJESHENI MIKOPO ILI WENZENU WAPATE KUKOPA –KAMATI YA LAAC

    March 31, 2023
  • LAAC YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA UKARABATI SHULE YA SEKONDARI WASICHANA MTWARA

    March 31, 2023
  • KAMATI YA LAAC YAKAGUA MADARASA 7 YALIYOJENGWA KWA MAPATO YA NDANI NA NGUVU ZA WANACHI - MANISPAA YA SUMBAWANGA

    March 31, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.