• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

DART yatakiwa kutoa fursa Kwa Watanzania Kuwekeza kwenye Mwendokasi

Imewekwa tar.: September 3rd, 2024

Na Mwandishi Wetu - Dar es Salaam

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi ) Mohamed Mchengerwa amewataka watendaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka ,Dar es Salaam (DART)
kutoa fursa kwa watanzania wenye uwezo kuwekeza katika mradi huo ili kupunguza changamoto na kero zinazolalamikiwa hasa msongsmano wa watu katika vituo kwa muda mrefu .

Aidha amewaagiza watendaji hao kutokaa maofisini na kwenda katika vituo hivyo kutatua changamoto za wananchi.

Mchengerwa ameyasema hayo leo wakati wa uzinduzi wa kadi janja na mageti ya mfumo wa kielektroniki ulioanza kutumika kuanzia leo katika vituo mbalimbali hapa jijini.

Uzinduzi huo umefanyika katika kituo kikuu Cha mabasi hayo Kimara Mwisho na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wananchi wa maeneo mbalimbali.

“Masuala ya kubishana bishana hatuyataki watanzania wanataka huduma ili kuepusha usumbufu mkubwa uliopo katika usafiri huu kila siku michakato isiyomalizika sitaki kuisikia na kuanzia Leo msikae maofini tokeni nendeni mkawahudumie Watanzania,”amesema Mchengerwa.

Amesema wapo watanzania wanaweza hivyo washirikishwe wawekeze kwani kama Mtanzania ana mabasi yanayokwenda Mwanza, Arusha na sehemu nyingine hawezi kushindwa kuhudumia mabasi kama haya na sio kuwaangalia wazabuni wa nje tu,.

Amewataka DART na UDART kuhakikisha mabasi yanakamilika katika maeneo yote yenye barabara hizo ikiwemo Mbagala kabla ya Desemba mwaka huu ili watanzania wafurahie matunda ya Serikali yao.

“Sisi tumeaminiwa kuhakikisha Watanzania wanapata huduma nzuri naamini mtatoa elimu zaidi kuhusu tandao wa Mwendokasi App ili Watanzania wawe na uelewa mpana katika ukataji tiketi ili kuepuka kero zilizokuwepo awali,” amesema.

Amesema anaimani huduma ikiwa nzuri hata watu wenye magari yao binafsi wanaweza kuegesha magari yao na kutumia usafiri huo wenye haraka zaidi.
Mchengerwa amewataka warendaji wote katika Wizara hiyo wabadilike na kuhakikisha wanafuata muda wa mabasi kufika vituoni ili kupunguza msongamano usiokuwa na tija kwa abiria.

Amewataka watendaji kusitisha mara moja matumizi ya tiketi za karatasi na kuanza kutumia kadi janja ambazo pia amewataka kuziweka katika mfumo rafiki ili kupunguza wingi wa kadi kwa wananchi.

Mchengerwa amesisitiza kuhakikisha wanatatua na kumaliza kero ili wakifika katika majiji mengine ikiwemo Arusha, Mwanza na Mbeya hapa Dar es Salaam kusiwe na changamoto yoyote ile.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa DART Othman Kihamia amesema mfumo huo utakuwa bora na kuondoa changamoto mbalimbali zilizokuwepo mfano chenchi, foleni kwa wananchi waliokiwa wakikutana nazo huko nyuma.
“Kadi hizo zina ubora wa hali ya juu na tumejipanga kuhakikisha watanzania hawakutani na changamoto kama zilizokuwepo huko nyuma,”alisema.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.