• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Chandarua Pekee Hakiondoi Malaria – Dkt. Kapologwe

Imewekwa tar.: October 26th, 2020

Na. Fred Kibano, Dodoma

Serikali imetoa wito kwa Wadau wa Sekta ya afya nchini kuhakikisha wanatumia njia mbambali za kukijinga na malaria badala ya kutumia njia moja ya chandarua ambayo pekee haiwezi kuondoa malaria na kufikia malengo ya Taifa katika kutokomeza malaria.

Hayo yamesema na  Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Ntuli Kapologwe wakati akifungua kikao kazi cha afya chini ya T-MARC Tanzania kwa Wadau wa malaria ambao ni Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, T-MARC Tanzania na baadhi ya asasi zilizopo kwenye baadhi ya mikoa Jijini Dodoma leo.

Dkt. Kapologwe amesema Wadau wote waige mfano wa asasi ya T-MARC Tanzania (T-MARC) Shirika lisilo la Kiserikali linalofanya kazi ya kuboresha afya ya jamii na kusaidia maendeleo yao ambao wameweza kutumia njia mbalimbali katika kudhibiti malaria kama vile upulizaji wa madawa ya kuangamiza viluwiluwi vya Mbu Kwenye Mazalia, kuwajengea uwezo jamii katika kupima malaria wapatapo dalili za malaria, kutumia chandarua chenye dawa na njia nyingine.

Amesema kuna tabia ya baadhi ya Wadau kufanya kazi za malaria nchini lakini kazi yao kubwa ni kugawa vyandarua ambavyo haviwezi kuondoa malaria kwa asilimia mia moja.

Aidha,amewataka Waganga Wakuu wa Mikoa ya Shinyanga na Simiyu kuhakikisha halmashauri zao zinazotekeleza mradi wa malaria chini ya program ya T-Marc Tanzania zinaendeleza mradi huo kwenye halmashauri nyingine ambazo hazina mradi huo kwa kutenga fedha kwenye bajeti zao.

“sisi kama Serikali kwa maana ya mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa tuhakikishe program za kudhibiti malaria zinaingia katika bajeti zetu”, alisema Dkt. Kapologwe.

Awali Bwana Hamid Alway Meneja Mkuu wa Mradi T-MARC Tanzania amesema kama ulivyo Mpango wa Taifa wa kudhibiti malaria wa mwaka 2014 hadi  2020 lengo la T-MARC Tanzania ni kusaidia kupunguza malaria nchini kutoka asilimia 7.3 ya 2017 hadi asilimia 1 ifikapo mwaka 2020 ambapo T-MARC wametoa vyandalua vyenye dawa, kujenga tabia ya kupima malaria, kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa  wahudumu wa afya na kuzuia malaria hasa kwa akina mama wajawazito.

Bwana Hamidu Alway amesema maeneo yanayotekeleza mradi huo wa malaria unaoisha mwezi Oktoba, 2020 ni Shinyanga halmashauri za Ushetu na Msalala na halmashauri zote za mkoa Simiyu ambapo kiwango cha maambuzi ya malaria kimepungua.

Kazi nyingine zilizotekelezwa ni kutoa mafunzo kwa Wahudumu wa afya ya Jamii ngazi ya vijiji na mitaa, kutumia vyombo vya habari vya redio na machapisho kuelimisha jamii na kutoa pampu na dawa za kuuwa vijidudu vya malaria kiasi cha lita 2,340.

Naye Stella Kajange Mratibu wa Mradi wa malaria na Wadudu Wadhirifu Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema wizara itahakikisha vipaumbele vya mikoa vinatekelezwa na Wadau na sio kujichagulia maeneo ambayo hayana tija kwa mikoa.

Kwa upande wake Dkt. Dismas Charles Mratibu wa Mradi wa Kudhibiti Malaria kutoka wizara ya Afya amesema umwagaji wa dawa kwenye mazalia ya mbu unagharamiwa na Serikali kwa asilimia 100 ikiwa ni pamoja na njia sahihi za kutumia kuangamiza mazalia ya mbu hivyo halmashauri zinapopanga bajeti ziingize bajeti za madawa hayo.  

Bwana John Duttu Mratibu wa malaria halmashauri ya wilaya Ushetu amesema kutokana na mradi wa T-MARC Tanzania amefaidika na mafunzo ya upimaji wa maji juu ya kuangamiza viluwiluwi vya mbu kwenye mazalia, kuwapa mafunzo wahudumu wa afya kwenye vijiji na mitaa wilayani ijapokuwa changamoto inayowakabili ni uhaba wa wahudumu wa afya kutokana na umbali wa kijiji na kijiji.



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • REJESHENI MIKOPO ILI WENZENU WAPATE KUKOPA –KAMATI YA LAAC

    March 31, 2023
  • LAAC YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA UKARABATI SHULE YA SEKONDARI WASICHANA MTWARA

    March 31, 2023
  • KAMATI YA LAAC YAKAGUA MADARASA 7 YALIYOJENGWA KWA MAPATO YA NDANI NA NGUVU ZA WANACHI - MANISPAA YA SUMBAWANGA

    March 31, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.