• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Ajira Mpya TEHAMA Wapigwa Msasa

Imewekwa tar.: May 18th, 2019

Watumishi wapya wapatao 70 wa kada ya TEHAMA walioajiriwa Mwezi Februari, 2019 na kupangiwa OR-TAMISEMI Makao Makuu, Sekretariet za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa, Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) na Wakala wa Mabasi yaendayo Kasi (DART) wanaendelea kupatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo kuhusu mifumo ya TEHAMA inayosimamiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI mjini Dodoma. Shabaha ikiwa ni kuwafanya kuijua mifumo iliyopo lakini pia kuihudumia mifumo hiyo.

Akizungumza wakati wa mafunzo Msimamizi wa mafunzo hayo Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, James Mtatifikolo, amesema mafunzo hayo ya siku tano yatakuwa na faida kwao kwani kila uchwao teknolojia inakuwa na hivyo kuwajengea uwezo wasimamizi wa mifumo ni suala muhimu kwa sasa.

“OR-TAMISEMI ina mifumo zaidi ya ishirini ambayo inatumika moja kwa moja kwenye ngazi za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa pamoja na taaisisi zake, ambayo  mingi  inatumika mpaka kwenye vituo vya kutolea huduma kama Shule na Vituo vya kutolea huduma za Afya, hivyo tumeona ni vyema wataalam wetu hawa wapya wakapatiwa mafunzo ili wapate uelewa mzuri wa namna bora ya kuisimamia mifumo hiyo” AlisemaMtatifikolo.

Mmoja ya  wakufunzi wa Kitaifa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara Stephano Amoni amesema kuwa, Maafisa TEHAMA wanaoendelea na mafunzo wako vizuri na wanashiriki kikamilifu katika mafunzo husika jambo ambalo linafanya kazi ya ukufunzi kuwanyepesi.

“Unajua unapofundisha watu ambao wanajua nini wanakifanya  katika mifumo na wanaelewa vizuri mambo ya TEHAMA kazi inakuwa nyepesi kinacho bakia ni kuwapa mambo ya msingi tu, ambayo wataenda kukutana nayo katika mifumo hii ambayo ndio kwanza wanakutana nayo kwa mara ya kwanza.”alisema Amoni.

Kwa upande wake, Afisa Tehama kutoka Halmashari ya Wilaya ya Uyui, Mkoani Tabora Ludao William anasema, mafunzo hayo yatakuwa chachu ya kuwaongezea ujuzi na uelewa wa kushughulikia mifumo mingi zaidi.

“Unajua sisi kila mmoja wetu ana uelewa wa mifumo sema tu hii ya OR-TAMISEMI hatuwajahi kuifanyia kazi hivyo Elimu tunayoipata hapa itatufanya tuwe Maafisa TEHAMA bora zaidi katika Halmashauri na Mikoa”

Mafunzo haya ya siku tano yanafanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Umonga na yanaendeshwa na Wataalam toka OR-TAMISEMI, Wakufunzi wa Kitaifa kutoka kwenye Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Anaandika Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.