• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Agizo kwa Halmashauri ya Wilaya Masasi baada ya kusuasua kwa ujenzi wa madarasa

Imewekwa tar.: November 28th, 2021

Na Fred Kibano, Masasi Mtwara

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Festo Dugange ameiagiza Halmashauri ya Wilaya Masasi kuharakisha ujenzi wa madarasa katika halmashauri hiyo unakamilika kwa wakati.

Akiongea na watendaji wa halmashauri za Masasi Mji, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mbele ya Wenyeviti wa Halmashauri hizo na Mkuu wa Wilaya ya Masasi Claudia Mkya, Dkt. Dugange hapo jana amesema hatakuwa tayari kuangushwa na Watendaji, badala yake wafanye kazi usiku na mchana na kuhakikisha miradi ya ujenzi wa madarasa yote inakamilika ifikapo tarehe 15 Desemba, 2021.

“halmashauri ya wilaya ya Masasi bado mnachechemea  kwenye ujenzi wa madarasa kwa zaidi ya asilimia 60 hadi 70, bado mpo katika hatua ya msingi sasa hiyo siyo dalili njema, Mkurugenzi na Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Masasi lazima mkajipange, muhakikishe miradi inakamilika kwa wakati, hayo ni maelekezo na hamtakiwi kujitetea na mimi sipo tayari kuangushwa” alisema Dkt. Dugange

Dkt. Dugange amewataka kukamilisha miradi hiyo kwa kuzingatia ubora na thamani ya fedha na siyo kujenga kwa haraka bila kufikia viwango vinavyokubalika. Aidha, amesema fedha zilizotolewa kwa ajili ya kukamilisha miradi ya madarasa imewekwa pamoja na madawati na viti na hivyo ujenzi wa madarasa uendane sambamba na manunuzi ya samani za darasani.

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mheshimiwa Claudia Mkya amekiri kuwa halmashauri hiyo imekuwa na kasi ndogo kwenye ujenzi wa madarasa kutokana na changamoto ya upatikanaji wa maji na kuchelewa kupata saruji iliyoagizwa kutoka kiwanda cha Dangote na sasa changamoto hizo zimetatuliwa, hivyo basi amepokea maelekezo na atasimamia kwa kuhakikisha wanajenga usiku na mchana ili kukamilisha miradi katika muda uliopangwa.

Awali akitoa taarifa kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Festo Dugange, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Bw. Apoo Tindwa amesema halmashauri yake ilipokea fedha za ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko 19 kiasi cha shilingi Bilioni moja na milioni 960 kwa ajili ya kujenga madarasa 84 ya sekondari na madarasa 14 ya shule za msingi na kwamba yapo katika hatua mbalimbali.

“madarasa 26 yapo kwenye hatua ya ujenzi wa maboma, madarasa 4 ujenzi upo kwenye hatua ya linta na madarasa 68 ujenzi upo kwenye hatua ya msingi”

Amezitaja changamoto zilizosababisha kuchelewa kwa ujenzi wa madarasa kuwa ni pamoja na upatikanaji wa maji, kutokupatikana kwa tofali za kununua kwa bei isiyozidi shilingi 1,500 kwa tofali moja na ucheleweshwaji wa saruji kutoka kiwandani.

Mapema mwaka huu Serikali ilipeleka fedha kwenye halmashauri zote kwenye nchi nzima ili kuhakikisha inapofika mwaka 2022 januari wanafunzi wote waliofaulu na kupangiwa shule kuanza kidato cha kwanza wanaanza masomo kwa pamoja bila kuwa na chaguo la pili na la tatu.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Naibu Katibu Mkuu Mwambene aendesha kikao kazi kati ya Serikali na Umoja wa Ulaya

    May 14, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.