• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Waziri Jafo amtaka Ras Pwani kuanza na Miradi ambayo haijakamilika

Imewekwa tar.: May 22nd, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo amemtaka Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Pwani Dkt. Delphine Magere kuanza utendaji kazi wake kwa kufanyia kazi  miradi ya mabweni, mabwalo na vituo vya afya ambavyo havijakamilika kwa wakati kwani ni miradi iliyotumia pesa nyingi na muda mrefu katika Mkoa huo.

Mhe. Jafo ametoa kauli hiyo leo wakati Dkt. Magere alipokuja kuripoti OR-TAMISEMI Mtumba Jijini Dodoma mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli na kukabidhiwa vitendea kazi ikiwa ni pamoja na Kitabu cha Bajeti 2020/21, Mafanikio ya Miaka Minne ya OR-TAMISEMI,Sheria ya Tawala za Mikoa pamoja na nyaraka zingine mbalimbali.

Akizungumza Mhe. Jafo amesema kuwa Serikali imeendelea kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kufanya ujenzi na maboresho katika sekta ya Elimu na Afya Mkoani pwani na baadhi ya Halmashauri zingine hazifanyi vizuri katika usimamizi wa miradi hiyo.

“Dkt.Magere hakikisha unasimamia mabweni, mabwalo, vituo vya afya na Hospital za Wilaya ambazo zinaendelea kujengwa na kukarabatiwa, kazi hiyo ifanyika kulingana na thamani ya fedha iliyotolewa, hakikisha force account inatumika katika miradi hiyo na inakamilika kwa wakati”, ameelekeza Mhe.Jafo.

Aidha Mhe. Jafo amemtaka Dkt. Magere akasimamie ugawaji wa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo kwa kuwa vimeshafika kwenye Ofisi za Mamalaka ya Mapato ya Mikoa na vinatakiwa kuwafikia walengwa haraka iwezekanavyo.

Halkadhalika alisisitiza Dkt. Magere kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri zote na kuhakikisha fedha hizo  zinatumika kwa kuzingatia taratibu sahihi.


“Ukusanyaji wa mapato uzingatia matumizi ya mashine za kieletroniki ili kusaidia kupunguza upotevu wa fedha za Serikali na kuongeza mapato ya halmashauri ili ziweze kujiendesha na kutekeleza miradi ya maendeleo bila kutegemea Ruzuku toka Serikali kuu na kwa wafadhili” alisema Jafo.

Mhe. Jafo alimalizia kwa kumsisitiza Dkt. Magere  kusimamia nidhamu ya watumishi, matumizi mazuri ya rasilima za taifa na uwajibikaji ili kuleta utendaji mzuri katika kuleta maendeleo kwa wananchi wa mkoa wa Pwani.

Naye Katibu Mkuu TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamuhanga amempongeza Dkt. Magere kwa kuteuliwa katika nafasi hiyo na kumtaka kuchapa kazi ili kuleta matokeo chanya kwa Mkoa wa Pwani.

Kwa upande wake Katibu Tawala  Mkoa wa Pwani Dkt. Delphine Magere amesema kuwa anamshukuru  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa nafasi hii na amekwishakuanza  kazi hata kabla ya kuapishwa kwa kutembelea Wilaya 6 na Halmashauri 7 za Mkoa wa Pwani.

“Nazidi kuwaomba wananchi na watumishi wote wa Mkoa wa Pwani tushirikiane katika kuchapa kazi ili kuleta maendeleo katika mkoa wa Pwani na Taifa kwa Ujumla” alisema Dkt. Magere.

Na. Majid Abdulkarim- TAMISEMI

 



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.