• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

FAINALI YA RIADHA YATAMBA TABORA, MIKOA YAIBUKA KIDEDEA

Imewekwa tar.: August 14th, 2022

OR - TAMISEMI

Baadhi ya fainali za riadha  zimefanyika  leo  Agosti 14, 2022 katika mashindano ya Michezo kwa Shule za Sekondari  2022 ( UMISSETA) yanayoendelea Mkoani Tabora.

Kwa  upande  wa mbio za Mita 3000 Wasichana  Neema Nyaisawa ametetea ubingwa wa Mkoa  wa Mara kwa   kutumia   dakika 10 :20:25  ukifuatiwa na Mkoa wa Mwanza  ambapo  Levina Malogwa alikimbia kwa  dakika 10:36:07 huku  Zaituni Ally kutoka   Mkoa wa Manyara akiibuka mshindi wa tatu kwa kukimbia kwa dakika 10:39:28.

Kwa upande wa Wavulana   Mshiriki Damian  Christian amepeleka kombe Arusha kwa kutumia dakika 8: 49:50 kumaliza mzunguko, nafasi ya pili ikishikiliwa na  Samson Sangatiti kutoka Mara aliyekimbia kwa dakika 9:01:88 huku Mezikioli Emmanuel kutoka Manyara akiwa mshindi wa tatu katika  kukimbia dakika 09: 01:97.

Mbio za mita Mita 100 , kwa upande wa  wanafunzi  Wavulana wenye mahitaji maalum mbio hizo zimefanyika katika makundi mawili, kundi la kwanza limeongozwa na  Baraka stephan kutoka Mwanza kwa kukimbia kwa dakika 0:12:40 akifuatiwa na Sheria  Choma  kutoka Kagera aliyekimbia kwa dakika 01:12:56 huku  Shaibu George kutoka Njombe akitwaa ubingwa mshindi wa tatu kwa kukimbia dakika 01:12:57.

Kwa upande wa wanafunzi wasichana wenye mahitaji maalum  Mkoa wa Mwanza umeibuka kidedea kupitia  Edina Lubanza ambae alikimbia kwa dakika 0:15:18  akifuatiwa na  Salma  Mohamed kutoka Mtwara aliyekimbia kwa dakika 01:15:62 huku  Mkoa wa Iringa ukiibuka mshindi wa tatu kupitia  Witnes Kasilo aliyekimbia kwa  dakika 0:16:10.

Kwa upande wa wavulana  mita 200 wanafunzi wenye mahitaji maalum  Shaibu George kutoka Njombe ameongoza Jahazi la kundi la kwanza  kwa kukimbia kwa dakika 0:26:75 akifuatiwa na Sheria  Chomi kutoka Kagera kwa kukimbia kwa dakika 0:26:80 huku  Silvanus Deus kutoka Kagera akishikilia nafasi ya mshindi wa tatu kwa kukimbia kwa dakika 0:26:88.

Katika kundi la pili  Japhary Ally kutoka  Njombe  ameibuka kidedea kwa kumaliza mzunguko kwa kutumia  dakika 0:26:50,nafasi ya pili imenyakuliwa na  Lamnyeki Loshiro kutoka Kilimanjaro kwa kukimbia kwa dakika 0:26:65, huku Masanja Daudi kutoka Arusha akishikilia nafasi ya tatu  kwa kukimbia kwa dakika 0:32:10.

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.