• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Kitabu
    • Kuhusu Wizara
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mikataba wa Huduma kwa mteja
  • Utawala
    • Idara
    • Vitengo
    • Muundo wa Wizara
    • Mikoa, Wilaya na Halmashauri
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Mpango Miji Mkakati (TSCP)
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi
    • Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Machapisho
    • Hotuba ya waziri
    • Taarifa Mbalimbali
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Fliers
    • Burners
    • Sticker
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
  • Blog TAMISEMI

Waganga Vituo vya afya, Wakuu wa shule jifunzeni elimu ya uhasibu

Imewekwa tar.: June 13th, 2018

Na Mathew Kwembe, Kagera

Waganga Wafawidhi wa Vituo vya Afya, Zahanati na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari wanaopelekewa fedha na serikali moja kwa moja kwenye vituo vyao wametakiwa kujifunza elimu ya uhasibu ili waweze kutekeleza majukumu yao uafisa masuuli ya usimamizi wa fedha za serikali.

Ushauri huo umetolewa jana na Meneja wa Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma wa Mkoa wa Kigoma bwana Simon Mabagala wakati wa mahojiano maalum kuelezea alichojifunza kuhusu watendaji hao wa ngazi za chini wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wanavyotekeleza majukumu yao kupokea fedha na kupitisha maamuzi ya matumizi ya fedha hizo kwa kupitia mfumo huo wa kielekitroniki.

Alisema kuwa baadhi ya walimu wakuu na waganga wafawidhi wamekuwa wakisita kutekeleza jukumu hilo uhasibu kwa kuwa taaluma zao ni tofauti lakini kutokana na uamuzi huo wa serikali wa kupeleka fedha moja kwa moja katika vituo vyao watalazimika kujifunza elimu ya uhasibu  ili waendane na majukumu yao ya uafisa masuuli katika  vituo vyao.

Bwana Mabagala aliongeza kuwa watendaji hao hawawezi kukwepa kujifunza elimu ya uhasibu kwani kwa jukumu lao la uafisa masuuli wasipoweza kuwa na elimu ya uhasibu kidogo wanaweza kushindwa kutekeleza majukumu yao.

“Kwa kuwa msimamizi wa kituo moja kwa moja wewe ni afisa masuuli, unalazimika kufahamu mambo ya msingi ya uhasibu kwani kushindwa kufahamu majukumu maana yake hela wasikuletee, kwani serikali haiwezi kukuletea hela, wakati wewe ndiyo msimamizi wa kituo, ni lazima uweze kuzisimamia na kuzitolea taarifa,” alisema.

Kwa upande wake Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama bwana Edwin Lupili alieleza kuwa katika halmashauri yake vituo vyote vya afya vimeletewa wahasibu, hivyo suala la kupeleka fedha moja kwa moja katika vituo hivyo linafanyika bila tatizo kwa kuwatumia wahasibu.

Aliongeza kuwa katika shule za msingi na sekondari kumekuwa na changamoto za kupata wahasibu watakaotosheleza vituo hivyo hasa kwa kuzingatia kuwa idadi ya shule za msingi nchini ni zaidi ya 16,000 na shule za sekondari ni zaidi ya shule 3600.

Sababu nyingine ya kutolazimika kuweka mhasibu kwa kila shule ni kutokana na kiwango cha fedha kinachopelekwa katika shule hizo kutokuwa kikubwa kiasi cha kuhitaji kuajiri mhasibu kwa kila shule.

Bwana Lupili aliongeza kuwa pamoja na serikali kutokuajiri wahasibu wanaoweza kukidhi mahitaji ya kila shule nchini, bado walimu wakuu na waganga wa vituo vya afya wana fursa ya kupata msaada wa kitaalamu kupitia miongozo ya serikali ambayo imeainisha mchanganuo wa matumizi wa fedha zinazopelekwa kwenye vituo.

Pia alisema kuwa zipo kamati za shule na afya ambazo zimekuwa zikipigwa msasa kuhusu mambo ya uhasibu na hivyo kusaidia jukumu la usimamizi na udhibiti wa matumizi ya fedha za serikali zisitumike kinyume na miongozo kwenye vituo hivyo.




Matangazo

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2018. January 24, 2019
  • Michoro ya Majengo ya Vituo vya Afya February 10, 2018
  • Michoro ya Majengo ya Zahanati May 16, 2018
  • Michoro ya Majengo ya Hospitali za Wilaya Tanzania Bara September 16, 2018
  • Kuitwa Kazini, Ajira Mbadala za Benjamin Mkapa Foundation December 27, 2018
  • Taarifa kwa Umma/ Tarehe ya mwisho kuripoti Kidato cha Tano 2018 June 18, 2018
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali Yatenga Bilioni 29.9 Kumalizia Maboma Yote ya Shule – Mhandisi Nyamhanga

    February 18, 2019
  • Ujenzi Hospitali za Wilaya Ukamilike kwa Wakati – Mhandisi Nyamhanga

    February 17, 2019
  • Dkt. Gwajima Atua Dar na Kampeni ‘Coordination’

    February 17, 2019
  • Serikali Yaagiza Maafisa Elimu Mikoa na Wilaya Kusimamia Taaluma

    February 16, 2019
  • Angalia zote

Video

Waziri Jafo akerwa na kusuasua kwa ujenzi wa stendi kuu ya mabasi Dar es salaam
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • File Management System (e-office)
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.