• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App

Wadau wa afya watakiwa kufanya ufuatiliaji na tathmini

Imewekwa tar.: September 27th, 2018

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Afya) Dkt. Zainabu Chaula amesema ili kuongeza ufanisi katika kuandaa mipango ya afya nchini ni vyema ufuatiliaji na tathmini ukafanyika ili kuimarisha afya ya jamii na kutoa huduma bora za afya nchini

Dkt. Chaula ameyasema hayo leo  Jijini Dodoma wakati akifunga Kongamano la pili la tathmini na ufuatiliaji lililloandaliwa na Chuo Kikuu Mzumbe kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha California  cha nchini Marekani likilenga kujadili na kuweka mikakati ya namna bora ya kutumia matokeo ya tafiti za sekta ya afya kufanya tathmini na ufuatiliaji ili kuimarisha huduma za afya  zinazotolewa nchini.

“Serikali imekuwa  na programmu, mipango na afua mbalimbali, hivyo tunapokuwa na programmu hizo tunaangalia  matokeo  na mabadiliko hivyo mkutano huu unaelekeza kufanya ufuatiliaji na tathmini katika sekta ya afya ili kuweza kutoa huduma bora kwa jamii,” alisema Dkt Chaula.

Alisema kuwa kwa sasa watu wengi wanapanga mipango mingi pasipo kufanya ufuatiliaji na tathimini ya kina ya kile wanachokitekeleza, hivyo amewaagiza wadau wote wa sekta ya afya nchini kuhakikisha wanafanya tathmini ya kile wanachokifanya ili kupata matokeo chanya na kuona matokeo yaliyopatikana na kujua kama mipango iliyopangwa na Serikali inaendana na matakwa ya wananchi.

Dkt. Chaula alisema kuwa ufuatiliaji na tathmini unawezesha kujua yaliyopangwa kama yamefikiwa kulingana na makubaliano yaliyowekwa na kutimiza malengo ya utoaji wa huduma kwa jamii hasa katika suala  la utoaji wa huduma za afya.

Aidha, Dkt Chaula amekitaka Chuo Kikuu cha Mzumbe  kufanya kazi kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya ikiwemo  Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais-TAMISEMI na wadau mbalimbali wanao jishughulisha na masuala ya afya kwa lengo la kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya  afya nchini

Kwa upande wake Bw. Alfred Magala mmoja ya mshiriki wa mafunzo hayo amesema mafunzo hayo yamesaidia kujua mifumo ya ufuatiliaji  ambayo itajenga uwezo  wa watumishi wa afya  na wananchi pamoja na watendaji  katika kufanya maamuzi ya  kisera , kiutawala  na maamuzi ya kiutendaji ambayo yatasaidia kuboresha afya za  wananchi.

Aidha Chuo Kikuu Mzumbe kinatoa elimu na mafunzo katika eneo la ufuatiliaji na tathimini katika sekta ya afya na  sasa kuna programu mbili za shahada ya kwanza na uzamili katika masuala ya afya na kozi fupi fupi kwa ajili ya kujenga uwezo wafanyakazi katika sekta ya afya wanaoshughulika na mfumo.

Anaandika Angela Msimbira OR TAMISEMI



Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Kafanyeni Tohara kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi

    March 04, 2021
  • Uhaba wa Saruji wachelewesha ujenzi wa barabara za Mji wa Serikali

    March 03, 2021
  • Natoa siku siku 12 mtatue kero za soko la Ndugai na Stendi kuu ya Mabasi- Waziri Jafo

    March 03, 2021
  • Agizo la ujenzi wa vyumba vya madarasa 2257 latekelezwa

    March 02, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.