• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Book History
    • Kuhusu Wizara
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Utawala
    • Directory
    • Vitengo
    • Muundo wa Wizara
    • Mikoa, Wilaya na Halmashauri
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji

TAMISEMI yaandaa mwongozo mpya wa usimamizi wa mapato kwa Halmashauri

Imewekwa tar.: January 16th, 2019


Na Mathew Kwembe

Serikali imesema kuwa mwongozo mpya wa ukusanyaji mapato katika halmashauri unalenga kuongeza wigo wa makusanyo ya mapato kwa kuwatoza watu wengi badala ya wachache na hivyo kuziwezesha halmashauri kukusanya mapato mengi zaidi.

Kauli hiyo imetolewa jana na Mratibu wa Mradi wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Bi Beatrice Njawa mara baada ya ufunguzi wa kikao cha kujadili Mwongozo wa Usimamizi Ukusanyaji Mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ndogo ya TAMISEMI iliyopo jijini Dar es salaam.

Alieleza kuwa mwongozo wa usimamizi wa mapato utapanua wigo kwa kuwatoza wale wote wanaostahili kutozwa mapato mbalimbali ikiwa ni pamoja na ushuru na kodi mbalimbali za Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Bi Njawa aliongeza kuwa mwongozo mpya sambamba na kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato ya halmashauri umezingatia kushirikisha maoni ya wadau hususani sekta binafsi ili waweze kutoa elimu kwa wadau wao wa namna bora ya kuutekeleza mwongozo huo ili kufikisha malengo yaliyokusudiwa.

“Kupitia mwongozo huu tumeshirikisha sekta binafsi ambao watatusaidia kutambua baadhi ya ya shughuli za kiuchumi zilizopo katika maeneo yao ili tuweze kuibua vyanzo vipya isipokuwa kwa tahadhali kwamba havitakuwa kero katika jamii ya wafanya biashara.

Mapema akifungua kikao hicho kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es salaam bwana Abubakar Mussa Kunenge alisema kuwa Mwongozo huo ni jitihada za Serikali za kuziwezesha Halmashauri kukusanya Mapato ya Vyanzo vya Ndani kwa ufanisi na kikamilifu. Kadhalika, kuweka mikakati ya kuwezesha kuwepo kwa mazingira wezeshi ya kufanya biashara na uwekezaji.

Aliongeza kuwa mwongozo huo unalenga kuweka utaratibu rahisi wa utambuzi wa Fursa za kiuchumi na Sekta ya uzalishaji, utambuzi wa Walipa kodi, taarifa na takwimu za kodi, namna ya kusimamia na kukusanya mapato, ushirikishwaji wa wadau mbalimbali katika mipango na utekelezaji wa mikakati ya ukusanyaji mapato, kuongeza uwajibikaji na uwazi katika kukusanya na kutumia mapato yaliyokusanywa.

Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais TAMISEMI Bwana Shomari Mukhandi alisema kuwa Ofisi yake imeona ni vyema kukaa na wadau kujadili rasimu ya mwongozo huo ili kupata maoni ya kila mshiriki ili kuboresha Mwongozo wa Ukusanyaji Mapato kulingana na mahitaji ya Sekta mbalimbali za Kiuchumi na Kijamii kwa kuzingatia kuimarisha Uwazi, Uwajibikaji na Ukuzaji  Uchumi.

Naye bwana Donald Ria ambaye ni Mtaalamu Mshauri wa masuala ya mazingira ya biashara na uwekezaji kutoka Mradi wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya serikali ya Denmark na Tanzania alisema kuwa mradi wake ulikubali kufadhili kuandaliwa kwa mwongozo huo ili kuboresha ukusanyaji wa mapato katika halmashauri.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 TANZANIA BARA December 06, 2019
  • TANGAZO LA KUWAREJESHA WAGOMBEA WASIO NA MAKOSA YA KIKANUNI KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2019 November 10, 2019
  • MAELEZO KUHUSU ZOEZI LA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU ZA MAOMBI YA UTEUZI WA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI October 30, 2019
  • TANGAZO NA ORODHA YA WALIOITWA AJIRA ZA MKATABA TAASISI YA BENJAMIN MKAPA October 25, 2019
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA AFYA REPLACEMENT October 25, 2019
  • Orodha ya Majina ya watumishi wa Ajira Mpya kada ya Afya September 18, 2019
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Jafo atangaza waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza, 2020

    December 05, 2019
  • Jafo ambana Mkandarasi SKOIL Building Contractors Limited

    December 04, 2019
  • Jafo akagua ujenzi wa hospitali ya Uhuru

    December 04, 2019
  • Halmashauri zapigwa marufuku kukopa Benki

    November 29, 2019
  • Angalia zote

Video

Rais Dkt. John Pombe Magufuli Dodoma
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.