• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu

Serikali Yatoa Ajira Mpya 4,549 kwa Walimu na Maelekezo Yake

Imewekwa tar.: February 28th, 2019

Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania imetoa fursa ya ajira zaidi ya elfu nne kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari  ili kupunguza changamoto ya uhaba wa walimu mashuleni nchini.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OR-TAMISEMI) Mhe.Selemani Jafo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika  ukumbi wa Reform uliopo katika ofisi za OR - TAMISEMI Jijini Dodoma.

Mhe. Jafo amesema kuwa sasa ni wakati wa walimu wenye sifa kuchangamkia fursa ya ajira kwa kutuma maombi yao kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi mtandao cha http://ajira.tamisemi.go.tz (Online Teacher Employment Application System-OTEAS).

“Muombaji awetayari kufanya kazi sehemu yoyote kwani sisi tutapanga kulingana na maeneo yenye uhitaji wa walimu wenye sifa husika katika maeneo hayo kwani sisi ndio tunajua wapi kuna upungufu wa walimu” ameeleza Mhe.Jafo

Mhe.Jafo ametoa  wito kwa waombaji  wote watakaopata nafasi hizo kwenda kufanya kazi kwa moyo mmoja na weledi wa juu ili kuhakikisha watanzania wananufaika na elimu inayotolewa na wao, na hapo changamoto ya uhaba wa walimu katika sekta ya elimu itakuwa imetatuliwa.

Aidha, Mhe. Jafo amesema Walimu wanaotakiwa kutuma maombi ni wenye sifa za kitaaluma, Walimu wa Shule za msingi Daraja la IIIA wenye Astashahada ya Ualimu, Walimu Daraja la IIIB wenye Stashahada (Diploma) ya Ualimu katika masomo ya Kiingereza, Uraia, Historia, Jiografia na Kiswahili.

Walimu wa Daraja la IIIC wenye Shahada ya Ualimu kwa masomo ya Kiingereza,  Uraia,  Maarifa ya Jumla (General Studies), Historia, Jiografia na Kiswahili.

Huku sifa nyingine ya walimu wa shule za msingi ikiwa ni mwalimu wa Daraja la IIIC wenye Mahitaji Maalum aliyehitimu shahada ya ualimu kwa masomo ya Englishi, Civics, General studies, history, Jeiography na Kiswahili.

Huku sifa za walimu wa shule za Sekondari ni walimu wa Daraja  la IIIC wenye shahada  ya ualimu waliosomea elimu maalum, Walimu Daraja la IIIB wenye shahada (Diploma) ya Ualimu waliosomea elimu maalum, walimu wa Daraja IIIB wenye shahada, Daraja la IIIC katika masomo ya Sayansi ya Kilimo, Uchumi wa Nyumbani (Home Economics), Fizikia, Hisabati, Kemia na Biolojia.

Mhe. Jafo ameongezea kuwa sifa za jumla kwa waombaji ni sharti awe mtanzania, awe amehitimu kati ya mwaka 2014 hadi 2017 isipokuwa kundi maalum la wahitimu wa Elimu ya Ualimu wa masomo ya Fizikia na Hisabati hawa hawana muda maalum wa kuhitimu, lakini asiwe na umri wa miaka 45 wakati anatuma maombi na walimu waliowahi kuomba na hawakupata nafasi, wanapaswa kutuma maombi upya.

Amehitimisha kwa kusema barua zote za maombi ziambatishwe na nakala ya vyeti vya taaluma, utaalamu na kuzaliwa ambapo mwisho wa kupokea maombi hayo ni tarehe 15 mwezi Machi, 2019.

                                                                 Anaandika Fred Kibano na Majid Abdulkarim

Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali yalegeza masharti mikopo ya asilimia 10

    February 27, 2021
  • Vikundi 23 Wilayani Busega vimenufaika na mikopo ya asilimia 10

    February 26, 2021
  • Vikundi 366 Wilayani Kilwa vyanufaika na mikopo ya sh bilioni 1.1

    February 26, 2021
  • Waziri Jafo ataka Zimamoto, Skauti wakomeshe majanga ya moto shuleni

    February 26, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.