• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App

Sera ya Taifa ya Ugatuaji Kuiwanua Wananchi Kiuchumi

Imewekwa tar.: February 3rd, 2020

Serikali inaandaa Sera ya Taifa ya Ugatuaji ambayo itasaidia kuandaa sheria ambayo itamairisha utendaji wa Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kukuza uchumi wa jamii, kuboresha utawala bora na ushiriki wa jamii katika masuala ya sekta mbalimbali.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa morogoro, Mhe. Loata Sanare wakati akifungua warsha ya kukusanya maoni ya wadau katika kuandaa Programu ya Kuimarisha Mikoa na Serikali za Mitaa (Regional and Local Government Strengthening Programme-RLGSP) katika Manispaa ya Morogoro.

“Sera hiyo inakusudia kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi, kupunguza umaskini, kuzalisha ajira na ustawi wa jamii, Kuimarisha mfumo wa Ushirikishwaji wa wananchi kijamii, kisiasa na usimamizi wa Uchumi”

Pia Sanare amesema uboreshaji wa uhusiano kati ya Serikali Kuu na Serikali za Mitaa katika kutoa huduma zilizogatuliwa, Usimamizi wa mazingira na mabadiliko ya Tabianchi, Usawa wa  Kijinsia, Maendeleo mijini na vijijini, Usalama wa chakula na lishe na makundi yenye mahitaji maalum.

Akitoa maelezo ya awali kabla ya ufunguzi wa warsha Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobelo ameishukuru Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kuanzisha Sera ya Taifa ya Ugatuaji inayotolewa maoni kwa lengo la kutoa huduma zilizo bora kwa wananchi kwa wakati na ufanisi.  

Kwa upande wake Mhandisi Enock Nyanda Mkurugenzi Msaidi Idara ya Uratibu wa Sekta Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema mbali na kuwepo Mpango wa Maboresho wa kwanza na wa pili, awamu hii kutakuwa na Sera ya Taifa ya Ugatuaji itakayosimamiwa na sheria ambayo itaonyesha ushiriki wa Wadau mbalimbali na itasaidia kutatua changamoto zilizopo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Programu hiyo ni mwendelezo wa mambo mazuri yaliyopatikana wakati wa utekelezaji wa Programu za Maboresho ya Serikali za Mitaa zilizotangulia  Awamu ya kwanza na ya pili (LGRP I & II) zilizotekelezwa kati ya mwaka 2000 hadi 2010.

Sera ya Taifa ya Ugatuaji pamoja na  mkakati wake wa utekelezaji umeainisha nguzo kuu 9 ambazo baadhi yake zinalenga kutoa mwongozo kuhusu ukusanyaji na usimamizi wa Rasilimali fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kutekeleza wajibu wa utoaji huduma kwa mujibu wa sheria, Kuinua na kuimarisha Uratibu wa jitihada za kuendeleza Uchumi wa Maeneo (Local Economic Development) katika ngazi za msingi kwenye Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Programu inatarajiwa kutekelezwa kwenye ngazi za Sekretariati za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kipindi cha miaka 10 kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano ikiwa na lengo la kuona wananchi wanapata huduma bora za kijamii na kiuchumi kwa kufanya mageuzi ya uendeshaji na uwajibikaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ambapo Ofisi ya Rais TAMISEMI itafanya uratibu wa utekelezaji wa programu hiyo.

Washiriki katika warsha hiyo ni pamoja na baadhi ya Wakurugenzi na wataalam kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wakurugenzi wa Halmashauri, Makatibu Tawala wasaidizi wa Seksheni ya Serikali za Mitaa, Wataalam kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa, Makatibu Tawala wa Wilaya, Wawakilishi wa Asasi za Kiraia na Mashirika yasiyo ya Kiserikali.

          Anaandika Fred Kibano




Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Kafanyeni Tohara kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi

    March 04, 2021
  • Uhaba wa Saruji wachelewesha ujenzi wa barabara za Mji wa Serikali

    March 03, 2021
  • Natoa siku siku 12 mtatue kero za soko la Ndugai na Stendi kuu ya Mabasi- Waziri Jafo

    March 03, 2021
  • Agizo la ujenzi wa vyumba vya madarasa 2257 latekelezwa

    March 02, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.