• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

NMB Yaikabidhi Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Milioni 100

Imewekwa tar.: September 19th, 2018

Benki ya NMB imeikabidhi Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya kuufadhili Mkutano Mkuu wa 34 wa  jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo Jijini Dodoma.

Akipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni mia moja kutoka benki ya NMB, mwenyekiti wa Jumuiya hiyo ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Gullamhafeez Mukadam ameishukuru benki hiyo kwa msaada huo na kusema kuwa ALAT ni wabia wa benki hiyo hivyo wataendelea kudumisha mashirikiano yaliyopo.

Msaada huo unatokana na wito uliotolewa na ALAT mwanzoni mwa mwezi Agosti mwaka huu kupitia vyombo vya habari wa kuwakaribisha wadhamini mbalimbali watakaopenda kushiriki kwa lengo la kutangaza bidhaa na huduma walizonazo.

Mhe. Mukadam amesema masuala yatakayojadiliwa katika mkutano huo wa kawaida wa mwaka ni kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya mikutano mikuu (yatokanayo), pamoja na kujadili taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa shughuli za Jumuiya.

Amesema agenda nyingine zitakazojadiliwa ni “Kupokea na kujadili taarifa ya fedha za Jumuiya ikiwa ni pamoja na kujadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Jumuiya kwa mwaka 2018/2019” Alisema MheMukadam.

Kwa upande wake Meneja wa NMB kanda ya Kati Nsolo Mlozi amesema msaada huo unatokana na umuhimu wa ALAT kwenye jamii na kwamba wataendelea kuboresha huduma zao ili kuendana na mahitaji ya watanzania hususani Serikali za Mitaa.

Amesema NMB inaendelea kushirikiana na ALAT kupitia halmashauri zaidi ya 160 ambazo tayari zimeshaingia kwenye mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa njia za kielektroniki, ambao umesaidia kuongeza mapato kupitia matawi 228, mashine za kutolea fedha (ATM) zaidi ya 800, na zaidi ya mawakala 6000 nchi nzima.

“Benki hii inaendelea kushirikiana na jamii, mfano kwa mwaka huu 2018, tulipanga kutoa misaada kwa jamii kupitia afya na elimu wenye zaidi ya shilingi bilioni moja, wafaidika wa moja kwa moja wa mchango huu ni halmashauri zetu, kwani madawati na vifaa tiba vinaenda kwa halmashauri” Amesema Mlozi.






Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Vikundi 13 Wilayani Kibaha vyanufaika na mikopo ya sh milioni 46

    February 25, 2021
  • Magufuli: Viongozi tatueni kero za wananchi kwa wakati

    February 25, 2021
  • Shilingi Bilioni 3 zakwamua Wanawake, Vijana na Walemavu Geita

    February 25, 2021
  • Vikundi 47 Kondoa vyapewa mikopo ya shilingi milioni 147

    February 24, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.