• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App

Naibu Waziri ataka wadau waje na mpango wa kuendeleza michezo

Imewekwa tar.: March 29th, 2019

Na Mathew Kwembe, Dodoma,

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.George Waitara amewataka wadau na wataalamu wa michezo nchini kuja na mpango mahsusi wa namna nchi itakavyoweza kufikia  katika kuendeleza sekta ya michezo nchini.

Akizungumza kwenye kikao cha maandalizi kwa ajili ya Mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (UMISSETA) na Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) kilichoandaliwa na kampuni ya vinywaji ya Coca cola, Mheshimiwa Waitara amesema anatamani kuona walimu na wadau wengine waje na mpango mahsusi wa kuendeleza michezo ili Tanzania iondokane na tabia ya kuwa kichwa cha mwendawazimu katika sekta hiyo.

Mhe.Waitara amesema wataalamu waje na hoja ya kuendeleza sekta na michezo na anaamini kuwa walimu katika hili wana mchango mkubwa katika kuendeleza sekta ya michezo.

Amesema kwa kuwa watanzania wanapenda sana michezo, hakuna sababu ya kuwasononesha na badala yake akataka wataalam wa michezo kuja na mpango kabambe wa kukwamua sekta hiyo.

Mhe.waitara amesema pamoja na mchango mkubwa unaofanywa na walimu nchini katika kuinua maendeleo ya elimu nchini ambapo kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo kiwango cha ufaulu kimekuwa kikiongezeka, bado anaamini walimu wana jukumu kubwa katika kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafundishwa michezo kwa nadharia na vitendo.

“ Natoa maelekezo kwa walimu wote kuhakikisha kuwa somo la michezo linafundishwa kwa nadharia na vitendo kama mtaala wa elimu unavyoelekeza,” amesema na kuongeza:

“ viwanja vya michezo vifufuliwe na vifanye kazi kama ilivyokusudiwa, viwanja vilivyovamiwa vipimwe na kuwekewa mipaka,” amesema.

Akizungumzia kuhusu maandalizi ya michezo ya umiseta na udhamini kutoka kampuni ya Coca cola, Naibu Waziri ameishukuru kampuni hiyo kwa kuendelea kudhamini mashindano hayo ambayo yamepangwa kufanyika kitaifa mkoani Mtwara kuanzia mwezi juni mwaka huu.

Pia Mhe.Waitara ameipongeza coca cola kwa kuanzisha shindano maalum la kutafuta shule bora zinazoongoza kwa kutunza na kuhifadhi mazingira ambapo mtoto ambaye atafanikiwa kuokota chupa kilo 600 na kuendelea watapata zawadi mbalimbali zikiwemo laptop.

Naibu Waziri amewataka Coca cola kuhakikisha kuwa shindano hilo linazifikia shule nyingi iwezekanavyo na ikibidi lifanyike kwa mikoa yote 26 nchini.

Mhe.Waitara amewaagiza Maafisa Elimu wa Mikoa, na Maafisa Elimu wa Wilaya kuhakikisha kuwa zawadi zote zitakazotolewa na kampuni hiyo zinagawiwa kwa walimu watakaoshinda na wanafunzi pia.

Wakati huo huo Naibu Waziri Waitara amewataka Maafisa elimu nchini kuhakikisha kuwa wanawasimamia walimu na wanafunzi ili waweze kupanda miti ya kutosha nchini ili waweze kukabiliana na athari za jangwa.

“Tukitaka kusaidia kampeni ya usafi wa mazingira hatuna budi kuanza na walimu na wanafunzi, tuhakikishe kila mwalimu shuleni anapanda mti mmoja na kila mwanafunzi anapanda miti miwili mmoja nyumbani na mwingine shuleni,” amesema.

Mapema Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Elimu kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa bwana Julius Nestory ameipongeza kampuni ya vinywaji ya Coca cola kwa kuendelea kudhamini mashindano ya UMISSETA ambapo mwaka huu kampuni hiyo imeongeza kipengele cha usafi wa mazingira.

Amewataka maafisa elimu kuhakikisha kuwa zawadi zote zitakazonunuliwa na wadhamini coca cola zinawafikia walengwa na kwamba zawadi na jezi hizo kamwe zisiishie mitaani kwa wasiohusika.

Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Kafanyeni Tohara kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi

    March 04, 2021
  • Uhaba wa Saruji wachelewesha ujenzi wa barabara za Mji wa Serikali

    March 03, 2021
  • Natoa siku siku 12 mtatue kero za soko la Ndugai na Stendi kuu ya Mabasi- Waziri Jafo

    March 03, 2021
  • Agizo la ujenzi wa vyumba vya madarasa 2257 latekelezwa

    March 02, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.