• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Jafo awatunuku Tuzo Wanafunzi 4191

Imewekwa tar.: October 31st, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo amewatunuku wanafunzi 4191 tuzo za Astashahada ya awali, kati na Stashahada za chuo cha Serikali za Mitaa  mapema leo Tarehe 31/10/2019 katika viwanja vya Magufuli Square vilivyopo Hombolo chuoni hapo.

Akiwa katika Mahafali hiyo Waziri Jafo amewataka wanafunzi hao kwenda kufanya kazi kwa weledi na uaminifu ili waweze kutangaza sifa njema ya Chuo cha Serikali za Mitaa.

“Najua wengi hapa mtaajiriwa na mtaajiriwa katika Halmashauri zetu nataka muende mkazitendee haki halmashauri hizo, mkafanye kazi kwa bidii na kuleta mabadiliko chanya katika mamlaka zetu za Serikali za Mitaa”

Chuo hiki kinatoa maarifa stahiki kwa mahitaji ya soko la ajira la sasa,  napokea sifa nyingi za wahitimu wa chuo hiki wanapofanya kazi katika maeneo mbalimbali nchini, naamini ninyi mnaohitumu leo mmeiva vyema kwenda kulitumika Taifa hili alisema Jafo.

Aliongeza kuwa Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma ukawe muongozo wenu katika utendaji kazi wenu wa kila siku, mkafanye kazi kwa umakini mkubwa ili tuzidi kuwa na wataalamu wenye weledi  ili maendeleo ya Taifa yaweze kufikiwa.

Wakati huo huo Waziri Jafo amezitaka  Halmashauri zote kuanza kutumia mfumo ulioboreshwa wa fursa na vikwanzo kwa maendeleo ambao umeandaliwa na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo kwa kushirikiana na JICA.


“Mfumo huu ulioboreshwa utazisaidia Halmashauri zetu katika kupambana na vikwanzo vya maendeleo na kuona ni namna gani zinaweza kutumia fursa zinazopatikana katika maeneo hayo” Alisema Jafo.

Nikipongeze chuo hiki kwa kuwa wabobezi na mahiri katika maandiko yenye kutoa Dira na muelekeo  wa kupambana na changamoto zilizoko katika Mamlaka za Serikali za Mitaa alimalizia Jafo.

Naye Mkuu wa Chuo hicho Dkt. Mpamila Madale amesema chuo hicho mbali na kutoa mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi pia wamejikita katika Tafiti, kutoa ushauri wa kitaalam pamoja na kuandaa machapisho ya kitaaluma.

Alisema mpaka sasa chuo cha Serikali za Mitaa  kina jumla ya wanafunzi 7436 na ongezeko la wanafunzi hao kumepelekea uhaba wa madarasa ambapo kwa mwaka huu wameweza kujenga darasa moja lenye uwezo wa kubeba wanafunzi 504 kwa kutumia mapato ya ndani na ujenzi huo umetumia  force account.

Mahafali haya ni mahafali ya kumi na moja na yamehudhurisha wahitimu wa Astashahada ya awali ya ugavi na manunuzi, menejiment ya rasilimali watu,utunzaji wa kumbukumbu, pamoja na maendeleo ya jamii.

Wanafunzi walohitimu kwenye Astashahada ya kati ni Utawala katika Serikali za Mitaa, Uhasibu na Fedha katika Serikali za Mitaa, Ugavi na manunuzi,menejiment ya rasilimali watu, utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka na Astashahada ya kati ya maendeleo ya jamii;

Wakati huo huo wanaofunzi waliohitimu katika ngazi ya Shahada ni Utawala katika Serikali za Mitaa, Uhasibu na Fedha katika Serikali za Mitaa, Menejiment ya Rasilimali watu, Maendeleo ya jamii, Ugavi na manunuzi pamoja na Stashahada ya Utunzaji wa Kumbukumbu 2019.



Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Vikundi 13 Wilayani Kibaha vyanufaika na mikopo ya sh milioni 46

    February 25, 2021
  • Magufuli: Viongozi tatueni kero za wananchi kwa wakati

    February 25, 2021
  • Shilingi Bilioni 3 zakwamua Wanawake, Vijana na Walemavu Geita

    February 25, 2021
  • Vikundi 47 Kondoa vyapewa mikopo ya shilingi milioni 147

    February 24, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.