• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu

Jafo awaagiza Wakurugenzi kutenga bajeti kwa ajili ya maafisa elimu maalum na elimu ya watu wazima nchini

Imewekwa tar.: August 21st, 2019


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewaagiza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Nchini kuhakikisha wanawezesha maafisa elimu nchini kwa kutenga bajeti  kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao kikamilifu.

Ameyasema hayo wakati akifungua kikao kazi cha Maafisa Elimu Mikoa, Maafisa elimu maalum na maafisa elimu ya watu wazima kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha mipango, Jijini Dodoma.

Amesema kuwa baadhi ya Wakurugenzi wa Halmashauri hawatoi  kipaombele  katika masuala yanayohusu elimu maalum na elimu ya watu wazima katika Halmashauri zao jambo ambalo linafanya maafisa wa idara hizo  kuwa wanyonge na kukata tamaa ya kutekeleza majukumu yao kwa wakati.

“Maafisa elimu wanaosimamia elimu maalum na elimu ya watu wazima  wako choka mbaya katika Halmashauri nyingi nchini, hata ukihesabu na kutaka viongozi wa Halmashauri wengi hawasimami kwa sababu ya kutojiamini na kujiona wametengwa na jamii hii inaleta sura mbaya na kusababisha watu walioko kwenye kundi hili kusahaulika  na kutotimiziwa mahitaji yao kwa wakati” Amesema Jafo.

Mhe. Jafo anafafanua kuwa maafisa elimu maalum  na elimu ya watu wazima hushindwa kutekeleza majukumu yao kwa kutotengewa fedha na kuonekana si vipaombele vya Halmashauri, jambo ambalo linasababisha watoto wengi wenye mahitaji maalum na watu wazima kushindwa kupata elimu bora sawa na watu wengine.

“ Afisa elimu maalum akiwa na kazi maalum lazima aombe msaada wa gari kutoka Idara nyingine,hivyo nawaagiza wakurugenzi kuhakikisha katika bajeti zenu za ndani kutenga fedha kwa ajili ya maafisa elimu maalum na elimu ya watu wazima ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo” Amesisitiza Mhe. Jafo

Mhe. Jafo amewataka kuhakikisha wanaainisha vipaombele vya elimu maalum na watu wazima na kuviingiza katika bajeti ya Halmashauri husika ili kuziwezesha Idara hizo kupanga mipango yao na kuitekeleza kwa wakati.

Wakati huohuo, amemuagiza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhakikisha kila Halmashauri  inaainisha kwenye bajeti zao  vipaombele vya  Elimu Maalum na Elimu ya watu wazima  katika mchakato mzima wa bajeti  na kuwekewa fungu  katika Halmashauri zote nchini.

Amemtaka kuhakikisha anafanya uhakiki kwa kila mkoa pindi inapoleta bajeti yake kama wameweka vipaombele vya elimu maalum na elimu ya watu wazima, kama ilivyofanywa kwa asilimia kumi ya kuwawezesha vijana, wanawake na walemavu ili kuyafikia makundi hayo.

Mhe. Jafo amesema bila kufikia mahali na kuona ni kipaombele cha Halmashauri kuhakikisha kundi la watu maalum na elimu ya watu wazima linahudumiwa katika jamii, kundi hili litakuwa likitegemea wafadhili pekee jambo ambalo si malengo ya Serikali.

Vilevile amewaagiza maafisa elimu Maalum na watu wazima kuhakikisha wanatembelea maeneo yao ya kazi ili kutatua matatizo  ya kundi hili katika maeneo wanayofanyia kazi.

Naye, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  Mhandisi Joseph Nyamhanga amesema kuwa malengo ya mkutano huu ni  kuwapa uelewa Maafisa elimu kuhusu mpango mkakati wa elimu jumuishi kuwa ni ajenda muhimu katika maeneo yao ya kazi, kuwajengea uwezo wa namna ya kukuza na kusimamia maadili ya uongozi wa utumishi wa umma na dhana nzima ya ugatuaji wa madaraka na  kuendesha na kusimamia programme mbalimbali za maendeleo ya elimu nchini.

 Aidha, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia elimu Tixon Nzunda amewaomba wadau wa elimu nchini kuisaidia serikali kutekeleza majukumu yake katika kutatua changamoto mbalimbali za elimu nchini kwa kufuata vipaombele vinavyotolewa na kinyume chake watapingana na juhudi za Serikali.

Na. Angela Msimbira OR-TAMISEMI


Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Waziri Jafo ataka Zimamoto, Skauti wakomeshe majanga ya moto shuleni

    February 26, 2021
  • Vikundi 13 Wilayani Kibaha vyanufaika na mikopo ya sh milioni 46

    February 25, 2021
  • Magufuli: Viongozi tatueni kero za wananchi kwa wakati

    February 25, 2021
  • Shilingi Bilioni 3 zakwamua Wanawake, Vijana na Walemavu Geita

    February 25, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.