• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App

Jafo akabidhi Bil 1.7 Ruzuku kwa Vijana toka USAID

Imewekwa tar.: May 29th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo (Mb) amekabidhi hundi za mfano zenye thamani ya Tsh 1,731,038,850 kwa Taasisi tisa za vijana wa Mikoa ya Mbeya, Iringa pamoja na Zanzibar kwenye hafla ya iliyofanyika kwenye viwanja vya Sido Jijini Mbeya.

Akizungumza katika hafla hiyo Waziri Jafo amesema Ruzuku hiyo inayotolewa kwa mara ya pili sasa  itawezesha vijana kupewa ujuzi utakaowasiaidia katika kujikwamua kiuchumi na kujiletea maendeleo ya mtu mmoja mmoja na hatimaye maendeleo  ya Taifa kwa ujumla.

“Fedha hizi zinztolewa kama Ruzuku kupitia kwa Taasisi Tisa ambazo zitafanya kazi mbalimbali ili kuwafikia vijana wa maeneo yote ambao mradi wa Inua Vijna unatekelezwa hivyo tunataka tuone mabadiliko kwa vijana wetu, tunataka tuone maendeleo ya moja kwa moja kupitia fedha hizi.

Ni vyema sasa Mradi wa Inua Vijana mkafanya tathmini ya kina kuona ni namna gani fedha hizi zinaleta mabadiliko yenye Tija kwa vijana wetu, uchumi wao umeimarika kwa kiasi gani na kama kuna sehemu ambayo bado inahitaji ufadhili nguvu zielekezwe zaidi kwenye eneo husika ili matokeo ya haraka yaweze kupatikana” Alisema Jafo.

Vijana wa sasa wanatakiwa kujengewa mawazo mapana zaidi, kupewa ujuzi utakaowezesha kuwa wabunifu na kufanya shughuli ambazo zitawaingizia kipato kikubwa cha kuwafanya kutoka kwenye kipato cha chini na kuwa watu wenye kipato cha kati Aliongeza Jafo.

“Mradi huu ni muhimu sana kwa mendeleo ya Taifa letu kwani unalenga kukuza uchumi, kupunguza umasikini na kuboresha maisha ya Watanzania walio wengi kwa kuhakikisha kuwa sekta zinazogusa maisha ya watu wengi na maskini zinakuwa kwa kasi” Alsiema Jafo.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ambaye ndiye mwejeji wa hafla hii Mhe. Albert Chalamila alisema ni katika Mkoa wa Mbeya mradi wa Inua Vijana umefanikwa kubadilisha maisha ya vijana wengi ambao wamejengwa uwezo katika maeneo ya ujasiriamali, uongozi afya ya uzazi pamoja na kupewa ujuzi katika kazi mbalimbali za kuwaingizia kipato.

“Ukishindwa kumshukuru binadamu mwenzio hata Mungu sio rahisi kumshkuru mimi napenda niwashkuru sana USAID kupitia mradi wa Inua Vijana kwa kazi kubwa waliofanya katika Mkoa wangu wa Mbeya tunatambua mchango wenu na pia niombe mzidi kuwafikia vijana wengine kwenye Wilaya ambazo mradi huu haujafika ili nao wanufaike na matunda haya” Alisema Chalamila.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Ally Happy ambaye Mkoa wake ni wanufaika wa mradi wa Inua Vijana alisema kuwa ukiwawezesha vijana umewezesha Taifa kwa kuwa vijana ndio Nguvu kazi ya Taifa nafurahia kuona mafanikio ya mradi huu kwenye Mkoa wangu na mi ntazidiki kutoa ushirikiano kila itakapohitajika ili vijana wa Kitanzania wazidi kupata hii fursa.

Aidha Mhe. Happy alisema, Miradi hii ya vijana ili iwe na Tija lazima iwe endelevu ni bora pale mradi unapoisha zile rasilimali za mradi zitakakabidhiwa kwa vijana ili waendelee kuzitumia katika kuendeleza miradi hii ambayo imeanzishwa.

Mkurugenzi wa  Mkaazi wa USAID Tanzania Andy Karas alisema zoezi la kukabidhi ruzuku kwa ajili ya vijana linafanyika kwa mara ya pili ambapo mara ya kwanza zaidi ya shilingi Bil 1 zilitolewa lengo ikiwa ni kuwaunganisha vijana na fursa mbalimbali za ujasiriamali na ajira kwa kuzingatia mnyororo wa thamani katika sekta za kilimo na mifugo.

Naye Mtaalam wa Vijana kutoka USAID Joyce Mndambi amesema kuwa mradi huu una nia ya kubadilisha mtazamo na matarajio ya vijana kwa kuwaendeleza katika fani mbalimbali zikiwemo ujasiriamali, uongozi na kuimarisha Afya zao.

Oscar Kapande ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Baba Watoto inayofanya shughuli zake Wilayani  Kilolo Mkoani Iringa na pia Taasisi hiyo  imepata Tsh Mil 205 kwa ajili ya kazi za vijana amesema amekwishawafikia vijana zaidi ya 100 na kati ya hao 61 ni wasichana na anawajengea uwezo  wa kujiamini  na kuweza kufanya maamuzi.

Mradi huu wa Inua Vijana ulianza mwaka 2017 na unatarajiwa kumalizika mwaka 2022. Mradi huu unatekelezwa katika Mikoa ya Iringa, Mbeya na Zanzibar na unalenga vijana wenye umri kati ya miaka 15-35.


Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Natoa siku siku 12 mtatue kero za soko la Ndugai na Stendi kuu ya Mabasi- Waziri Jafo

    March 03, 2021
  • Agizo la ujenzi wa vyumba vya madarasa 2257 latekelezwa

    March 02, 2021
  • Waziri Jafo ataka Shilingi Bilioni 245 za Miradi ya Maendeleo zitumike kwa wakati

    March 01, 2021
  • Serikali yalegeza masharti mikopo ya asilimia 10

    February 27, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.