• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Imarisheni Mifumo ya Utendaji Kuondoa Malalamiko - Mweli

Imewekwa tar.: October 22nd, 2019

Watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI wameaswa kutatua changamoto za watanzania kwa kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na malalamiko ya wananchi ili kuleta maendeleo bora kwa taifa.

Hayo yamebainisdhwa leo na Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Gerald Mweli  alipowasili katika ofisi za TAMISEMI zilizoko Jijini Dodoma baaada ya kupokelewa na watumishi wa wizara hiyo.

Naibu Katibu Mkuu Gerald Mweli amesema kuwa ili kufikia matokeo bora ya kuwatumikia watanzania kuna haja ya kuimarisha ushirikiano mzuri katika utendaji na watanzania wanaowahudumia kwani ndio dhima kubwa waliyonayo katika nafasi zao za kazi.

Aidha Mweli amesisitiza kuwa ili kufanikisha utendaji bora wa kazi lazima kila mtu ajipime katika utendaji kazi wake kwa kuhakikisha utendaji wake wa kazi unaleta matokeo chanya kwa taasisi na taifa kwa ujumla.

“Unapokuja kwangu na tatizo juu ya kukosoa njoo na suluhisho nini kifanyike ili kufikia malengo kwani adhima yetu ni moja ya kujenga taifa moja, hamna haja ya kuangalia nani kakosea” Amesema Mweli.

Mweli amewataka watendaji wake kuhakikisha wanakaa chini kwa pamoja na kutatua changamoto ya madeni ya walimu kama alivyo elekeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kipindi anawaapisha Viongozi wapya Ikulu Jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

“Ili kutatua changamoto hii lazima sote kama watendaji tuvae uhusika wa majukumu yetu ili kuleta utendaji bora katika sekta ya elimu na kuboresha elimu nchini” Ameeleza Mweli

Naye Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa Elimu Dk. George Jidamva amezielezea Idara zilizopo chini ya Idara ya Elimu katika Ofisi ya Rais TAMISEMI na kuhainisha majukumu ya Sekta ya Elimu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi Ofisi ya Rais TAMISEMI Victor Kategere amesema kuwa watumishi wote wako tayari kushirikiana naye kwa hali na mali kuhakikisha wanaleta matokeo chanya katika utendaji kazi.

Ikumbukwe hivi karibuni kumefanyika uteuzi wa viongozi mbali mbali na Bwana Gerald Mweli anachukua nafasi ya Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) TAMISEMI Bwana Mathias Kabunduguru aliyeteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania.

     Anaandika Majid Abdulkarim

Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Vikundi 13 Wilayani Kibaha vyanufaika na mikopo ya sh milioni 46

    February 25, 2021
  • Magufuli: Viongozi tatueni kero za wananchi kwa wakati

    February 25, 2021
  • Shilingi Bilioni 3 zakwamua Wanawake, Vijana na Walemavu Geita

    February 25, 2021
  • Vikundi 47 Kondoa vyapewa mikopo ya shilingi milioni 147

    February 24, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.